Hakika tabia za baadhi ya wanawake kwenye sherehe huchukiza sana

Hakika tabia za baadhi ya wanawake kwenye sherehe huchukiza sana

ajent45

Senior Member
Joined
Mar 20, 2017
Posts
159
Reaction score
162
Sherehe huwa na malengo ya kufurahi kistaarabu watu wanapooana au wanaposheherekea jambo lao lililowafanya kuandaa sherehe
Sasa kuna baadhi ya wanawake wakiona kuna mziki hasa huku uswahili ukipita unakuta wanafanya vitu vya ajabu sana aisee inachukiza mno
Hivi hawa huwa wanalipwa?, wanakodiwa? au kuna maslahi yeyote wanayapata wakifanya hivi. Ebu tazama hiyo video uone hivi vituko.
 

Attachments

  • 1.mp4
    15.9 MB
Tatizo hiyo ni ya kiswazi,ukiona zile za wastaarabu wenye chura utafikiri wameshushwa toka mbunguni....suruali zinaweza kutoboka
 
Sherehe huwa na malengo ya kufurahi kistaarabu watu wanapooana au wanaposheherekea jambo lao lililowafanya kuandaa sherehe
Sasa kuna baadhi ya wanawake wakiona kuna mziki hasa huku uswahili ukipita unakuta wanafanya vitu vya ajabu sana aisee inachukiza mno
Hivi hawa huwa wanalipwa?, wanakodiwa? au kuna maslahi yeyote wanayapata wakifanya hivi. Ebu tazama hiyo video uone hivi vituko.
Akili zao wanazijua wenyewe waache tu
 
Ndio maana Mimi sipendi mwanamke anaekunywa aina yoyote ya kilevi iwe waini,castle lights n.k...maana akishaloose control anafanya vyovyote so unaweza ukagongewa hovyohovyo.au akawa na tabia mbovu kama hzo..
 
Ndio maana Mimi sipendi mwanamke anaekunywa aina yoyote ya kilevi iwe waini,castle lights n.k...maana akishaloose control anafanya vyovyote so unaweza ukagongewa hovyohovyo.au akawa na tabia mbovu kama hzo..
Pombe sio issue
Issue ni kukosa aibu na kimbele fronti
Mtu si ukae kwny kiti unywe taratiibu usiku uende vizuri
Ama kama hunywi uwe tu na utulivu in general

Mtu kila mziki mbio kucheza
Na cheza yenyewe sasaa nkikiii?..
 
Mkuu mbona kama shughuli yao maana wapo ndani ya sare,kwa wazalamo bila ivyo shughuli haijaenda vizuri na kuna vikundi maalumu wanakodishwa na kuzunguka kwenye sherehe za watu
 
Back
Top Bottom