Hakika tabia za baadhi ya wanawake kwenye sherehe huchukiza sana

Hakika tabia za baadhi ya wanawake kwenye sherehe huchukiza sana

hahaa wazaramo wa vingunguti, temeke, chanika you name it. sherehe ghalama kubwa ni coasta mengineyo bure. no wonder wanaoa leokesho wanaachana keshokutwa anachukua jiko lingine jipya.
 
hahaa wazaramo wa vingunguti, temeke, chanika you name it. sherehe ghalama kubwa ni coasta mengineyo bure. no wonder wanaoa leokesho wanaachana keshokutwa anachukua jiko lingine jipya.
kazi kweli kweli aisee
 
Sherehe huwa na malengo ya kufurahi kistaarabu watu wanapooana au wanaposheherekea jambo lao lililowafanya kuandaa sherehe
Sasa kuna baadhi ya wanawake wakiona kuna mziki hasa huku uswahili ukipita unakuta wanafanya vitu vya ajabu sana aisee inachukiza mno
Hivi hawa huwa wanalipwa?, wanakodiwa? au kuna maslahi yeyote wanayapata wakifanya hivi. Ebu tazama hiyo video uone hivi vituko.
Hiyo sherehe ilikuwa ndani ya basi? Je, wewe ulipewa lift au ulilipia nauli humo?
 
Pombe sio issue
Issue ni kukosa aibu na kimbele fronti
Mtu si ukae kwny kiti unywe taratiibu usiku uende vizuri
Ama kama hunywi uwe tu na utulivu in general

Mtu kila mziki mbio kucheza
Na cheza yenyewe sasaa nkikiii?..
unacheza mpaka watu wanakosa imani wanaaza kukurukia hii hatari
 
Hiyo sherehe ilikuwa ndani ya basi? Je, wewe ulipewa lift au ulilipia nauli humo?
Hapo ni ndani ya usafiri tu mambo ya ajabu yaliendelea ndani ya sherehe hata baada ya kushuka
 
Sherehe huwa na malengo ya kufurahi kistaarabu watu wanapooana au wanaposheherekea jambo lao lililowafanya kuandaa sherehe
Sasa kuna baadhi ya wanawake wakiona kuna mziki hasa huku uswahili ukipita unakuta wanafanya vitu vya ajabu sana aisee inachukiza mno
Hivi hawa huwa wanalipwa?, wanakodiwa? au kuna maslahi yeyote wanayapata wakifanya hivi. Ebu tazama hiyo video uone hivi vituko.
Na hao wavulana na hasa mwenye mwanya, unaona wako sawa? hata wewe ulikuwepo na ukachukua hatua ya kupiga video!! ulipo sawa? sasa hapo kwenye gari ulipita au nawe ni sehemu yao? Mlikodishwa?
 
Pombe sio issue
Issue ni kukosa aibu na kimbele fronti
Mtu si ukae kwny kiti unywe taratiibu usiku uende vizuri
Ama kama hunywi uwe tu na utulivu in general
Mtu kila mziki mbio kucheza
Na cheza yenyewe sasaa nkikiii?..
Ukilewa ngomani huwezi kuwa mtulivu, hakuna mlevi mstaarabu.
 
Mb 15 angalia mwenyew
Sherehe huwa na malengo ya kufurahi kistaarabu watu wanapooana au wanaposheherekea jambo lao lililowafanya kuandaa sherehe
Sasa kuna baadhi ya wanawake wakiona kuna mziki hasa huku uswahili ukipita unakuta wanafanya vitu vya ajabu sana aisee inachukiza mno
Hivi hawa huwa wanalipwa?, wanakodiwa? au kuna maslahi yeyote wanayapata wakifanya hivi. Ebu tazama hiyo video uone hivi vituko.
 
Sherehe huwa na malengo ya kufurahi kistaarabu watu wanapooana au wanaposheherekea jambo lao lililowafanya kuandaa sherehe
Sasa kuna baadhi ya wanawake wakiona kuna mziki hasa huku uswahili ukipita unakuta wanafanya vitu vya ajabu sana aisee inachukiza mno
Hivi hawa huwa wanalipwa?, wanakodiwa? au kuna maslahi yeyote wanayapata wakifanya hivi. Ebu tazama hiyo video uone hivi vituko.
Hahaha
 
Back
Top Bottom