Huwa nawa adimire sana.zaidi ya kimbunga kenneth mkuu
Alieona anisimulie kinachotokea.
Akili zao wanazijua wenyewe waache tuSherehe huwa na malengo ya kufurahi kistaarabu watu wanapooana au wanaposheherekea jambo lao lililowafanya kuandaa sherehe
Sasa kuna baadhi ya wanawake wakiona kuna mziki hasa huku uswahili ukipita unakuta wanafanya vitu vya ajabu sana aisee inachukiza mno
Hivi hawa huwa wanalipwa?, wanakodiwa? au kuna maslahi yeyote wanayapata wakifanya hivi. Ebu tazama hiyo video uone hivi vituko.
Pombe sio issueNdio maana Mimi sipendi mwanamke anaekunywa aina yoyote ya kilevi iwe waini,castle lights n.k...maana akishaloose control anafanya vyovyote so unaweza ukagongewa hovyohovyo.au akawa na tabia mbovu kama hzo..