Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
yani waTanganyika tusipokuwa makini kwa hili tutashtukia wajomba wamejaa nchini na kutuharibia nchi yetu nzuri iliyobarikiwa kwa kutuletea mambo yao ya hovyo😞
Yaani leo muungano uvunjike kwa kupewa sehemu ya bandari wa Dubai , hivyo mlivyouwa watu kwa maelfu Zanzibar na kuchukuwa kila kitu kuanzia kiti kule UN, Bandari, Benki, Jeshi , Polisi Uhamiaji, , Vyama, Airport nk hamkuumia ,
Mkuki kwa nguruwe kwa .binaadamu ni mchungu