Hakika wahenga walisema mama wa kambo si mama

yani waTanganyika tusipokuwa makini kwa hili tutashtukia wajomba wamejaa nchini na kutuharibia nchi yetu nzuri iliyobarikiwa kwa kutuletea mambo yao ya hovyo😞

Yaani leo muungano uvunjike kwa kupewa sehemu ya bandari wa Dubai , hivyo mlivyouwa watu kwa maelfu Zanzibar na kuchukuwa kila kitu kuanzia kiti kule UN, Bandari, Benki, Jeshi , Polisi Uhamiaji, , Vyama, Airport nk hamkuumia ,

Mkuki kwa nguruwe kwa .binaadamu ni mchungu
 
Mbona umeanzia kuandika simulizi kwa kuanzia mwisho....??🤨
 
Mama mwenyewe si kama golikeeper tu , hakuwahi hata siku moja kutafuta kura
Anadai alipata ubwenyenye kwa kudra tuu yaani kaokota dodo kwenye mwalubaini.
 
yani wazi wazi kabisa na anajua anachokifanya

tuwe macho ndugu zangu na tusisahau kumshtaki kwa Mungu pia mipango yao ikwame
Hakuna kumshtakia mungu hili suala tuna uwezo wa kulimudu tatzo sisi wengi ni keyboard warrioe tu
tulikua na uwezo wa kuandamana kwa nguvu mpaka magogoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…