hakikisha amekufa

hakikisha amekufa

hashycool

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2010
Posts
6,555
Reaction score
2,837
marafiki wawili walitoka kwenda kuwinda
wakiwa msituni bahati mbaya rafiki mmoja alipata ajali akawa hajitambui
kwa woga mmkubwa rafiki yake alichukua simu yake na kupiga 112 (emergency call)

rafiki: halow naomba msaada!
operator: msaada upi?
rafiki: rafiki yangu amekufa..
operator: usipanic ninaweza kukusaidia,kwanza hakikisha kama amekufa

ukimya kama dakika moja kisha sauti ya mlio wa bunduki ukasikika paaaaaa!
kisha sauti ya rafiki ikasikika upande wa pili
haya tayari sasa nifanyeje?
 
Back
Top Bottom