Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rekebisha heading yako. Kuna watu wanalipwa mishahara ya kawaida ila side hustle ndio zinaingiza pesa nyingi zaidi. Ungeandika kipato badala ya mshahara
Lakini pia hapo kwenye sheria za asili pia badilisha labda weka sheria za kiuchumihii imeongelea wanaotegemea mishahara, na hata wenye vipato vya ziada sheria ya asili haibadiliki
yaani kama una side hustle pia hakikisha kipato cha hustle zako zote unachopata ndani ya mwezi mmoja kinatosha kulipa kodi ya nyumba unayoishi kwa miezi sita
Ni kweli kabisa nakuunga mkono..habari wadau.
Nimegundua watu wengi wanapanga nyumba zenye kodi kubwa kulipo uwezo wao. wanateseka sana na mikopo hasa muda wa kodi unapofika.
wakifata hii sheria ya asili ya maswala ya kodi za nyumba, wataishi kwa amani sana
Sio miezi sita tuu hata mwaka mzimahabari wadau.
Nimegundua watu wengi wanapanga nyumba zenye kodi kubwa kulipo uwezo wao. wanateseka sana na mikopo hasa muda wa kodi unapofika.
wakifata hii sheria ya asili ya maswala ya kodi za nyumba, wataishi kwa amani sana
habari wadau.
Nimegundua watu wengi wanapanga nyumba zenye kodi kubwa kulipo uwezo wao. wanateseka sana na mikopo hasa muda wa kodi unapofika.
wakifata hii sheria ya asili ya maswala ya kodi za nyumba, wataishi kwa amani sana
kwa annual income ya kiasi gani?habari wadau.
Nimegundua watu wengi wanapanga nyumba zenye kodi kubwa kulipo uwezo wao. wanateseka sana na mikopo hasa muda wa kodi unapofika.
wakifata hii sheria ya asili ya maswala ya kodi za nyumba, wataishi kwa amani sana
Kuendelea kuisha Kwa wazazi wenu maana mkihama home Kwa tamaa na kuwa na uhuru matauponzana sisi ma jobless tunatakiwa tufanyaje mkuu
Kwahyo tuendelee kusubiri urithi?Kuendelea kuisha Kwa wazazi wenu maana mkihama home Kwa tamaa na kuwa na uhuru matauponza
oky, u mean squatter to luxurious neighborhoods ?income yoyote, hii haimchagui mtu mwenye kipato gani, maana nyumba zipo za bei zote