Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Nitafutie chumba Cha elfu kumi na tano mbagala sakuhapana, ila wakapange nyumba zinazoendana na kipato chao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafutie chumba Cha elfu kumi na tano mbagala sakuhapana, ila wakapange nyumba zinazoendana na kipato chao
Me nalipwa 1M nakaa chumba cha 30000 hapa sheria ya asili inasemajehabari wadau.
Nimegundua watu wengi wanapanga nyumba zenye kodi kubwa kulipo uwezo wao. wanateseka sana na mikopo hasa muda wa kodi unapofika.
wakifata hii sheria ya asili ya maswala ya kodi za nyumba, wataishi kwa amani sana
ni njema, hata kwa 20,000/- inategemea malengo/goals yakoMe nalipwa 1M nakaa chumba cha 30000 hapa sheria ya asili inasemaje
Enjoy maisha...hatuishi mara mbiliMe nalipwa 1M nakaa chumba cha 30000 hapa sheria ya asili inasemaje