Hakikisha unamiliki akaunti ya Benki kama kijana

Hakikisha unamiliki akaunti ya Benki kama kijana

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Kijana kabla haujatumia hela yako kuiingiza katika biashara hakikisha unaipitisha bank .

Bank kuna upako mkubwa Sana pitisha hela yako sehemu ambayo matajiri wanapitisha .

Pia hakikisha nyumba unayoishi amka ukiwa mtu Wa kwanza maana baraka za Ahsubui utazipata wewe ukiwa Wa kwanza unaweza kuamka then ukarudi kulala.

NB hayo ni mambo ya kiroho zaidi sio rahisi uyaelewe Kwa kutumia Akili.
 
Kijana kabla haujatumia hela yako kuiingiza katika biashara hakikisha unaipitisha bank .

Bank kuna upako mkubwa Sana.

Pia hakikisha nyumba unayoishi amka ukiwa Wa mtu Wa kwanza maana baraka za Ahsubui utazipata wewe ukiwa Wa kwanza unaweza kuamka then ukarudi kulala.


NB hayo ni mambo ya kiroho zaidi sio rahisi uyaelewe Kwa kutumia Akili.
Ww ni unatumia akili gani ya muchupi?
moyo yako umejaa ulozi tu

U r of no use to Tanzania or any other African Country

Why are you here?
 
Back
Top Bottom