DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ww ni unatumia akili gani ya muchupi?Kijana kabla haujatumia hela yako kuiingiza katika biashara hakikisha unaipitisha bank .
Bank kuna upako mkubwa Sana.
Pia hakikisha nyumba unayoishi amka ukiwa Wa mtu Wa kwanza maana baraka za Ahsubui utazipata wewe ukiwa Wa kwanza unaweza kuamka then ukarudi kulala.
NB hayo ni mambo ya kiroho zaidi sio rahisi uyaelewe Kwa kutumia Akili.
ππ½ππ½ππ½Ww ni unatumia akili gani ya muchupi?
moyo yako umejaa ulozi tu
U r of no use to Tanzania or any other African Country
Why are you here?
Okay okay ndio nn?Okay okay
Sawa mkuu
Weka statmenti yako hapo umeweka maalfu ngapi.Nawashauri vijana hakikisha umejiunga kwenye SACCOS yenye tija kwenye eneo lako ulilopo! Hutojutia....tujifunze kutunza akina zetu
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app