Kakwambia ana shida ya followers?Huyu jamaa naye anaharibu sasa.
Charity is charity aache ujinga.
Kwanza hapa amekuja tu kulipa fadhila kwasababu lazima amepata followers wa kutosha hapa bongo hence more money.
Hapo injinia anatengeneza connection na watu wa maana.... [emoji1241] π‘ππ πππ¨ππ π¦πππππ¨ π¬π πππ₯π¦π
"Kwa mara ya kwanza nimefanya charity nje ya Nchi yangu ya Morocco [emoji1173] na charity hiyo nimeifanya Tanzania kutokana na ushawishi wa Rais wa Young Africans SC"
"Nimefurahi kuona uzuri wa Nchi hii"
[emoji2399] Achraf Hakimi.
Full-back wa klabu ya PSG
Credit tom cruzView attachment 3028007
mwamba haaminiki huyu ukute fungu linaenda kwa bimkubwa wakeCharity yake au ya maza ake?
Amelipa fadhila kwa kitu gani? Ni fadhila gani hiyo aliyofanyiwa mpaka ameamua kuja kuilipa? Hiyo fadhila alifanyiwa na nani?Huyu jamaa naye anaharibu sasa.
Charity is charity aache ujinga.
Kwanza hapa amekuja tu kulipa fadhila kwasababu lazima amepata followers wa kutosha hapa bongo hence more money.
Na Mungu anazidi kumbariki na kumlinda dhidi ya nyie nyoka msiokuwa na ubinadamu hata kidogo.Huyo ni adui yetu wanawake! Tokea alivyotunyima gawio la mali
Mbona umejaa chuki za kipuuzi wewe jamaa??Huyu jamaa naye anaharibu sasa.
Charity is charity aache ujinga.
Kwanza hapa amekuja tu kulipa fadhila kwasababu lazima amepata followers wa kutosha hapa bongo hence more money.
Na sisi ni role model wetu wa kukabiliana na unyanganyi wa kindoa π πHuyo ni adui yetu wanawake! Tokea alivyotunyima gawio la mali