Hakimu adaiwa kujiua akiwa 'Guest House' Sumbawanga

kuifia gesti kunazua maswli mengi zaidi.

1. kwanini alienda kulala gesti?
2. alikuwa peke yake?
3.alikunywa sumu au alinyweshwa?
4.
Ulevi wa kupindukia na uzinzi/uasharati au wivu wa kimapenzi vimekuwa ni vyanzo vikuu vya mauaji au kujiua.
Guest ni nyumba ya kulala wageni. Wapenda ngono wamegeuza maana.
Kwa mfano unaenda Mbeya, utalala kwa balozi?
 
Yes, kwanini alilala guest??

hili ni swali zuli ili kujua kama kulala guest ni utaratibu wake/ alikuwa safarini/ alitaka kuwa faragha/ alikwepa kitu flani/ ali..??
Kujiua ni kosa la jinai. Mtu huchagua sehemu nzuri bila kubughuziwa ili afanye anachotaka.
Unywe sumu halafu mtu atokee huko akuwahi akupeleke hospital upone. Unafikiri utabaki salama mbele ya mkono wa sheria? Inapofika hatua ya mtu kujiua ujue nafsi imekata tamaa. Watu wanamatatizo ukizingatia kipindi hiki cha hali ngumu
 

Ulichoandika hapa umenikumbusha wakati ninasoma Jurisprudence and Legal Theory,Lecturer alitupa swali Je Suicide ni Crime? jibu lilikuwa ni Suicide sio crime mana mtenda kosa anakuwa ameshakufa marehemu,pia kingine ili kosa liwe kosa yaani Crime lazima kuwe na sheria (statute) inayolitaja hilo kosa Actus Reus na Mens Rea yake.
Hitimisho kujiua sio jinai,ila kujaribu kujiua ndio kosa kisheria mana kanuni ya adhabu imetaja hilo kosa Rejea kifungu cha 217 Cha Kanuni ya Adhabu Sura 16 R.E 2019.
 
Sasa kwanini alienda kulala Gesti kwani hana kwake hapo sumbawanga?

Na Usikute nyumbani aliaga kasafiri kikazi.
 

Viungo vyake vya mwili!!
Sasa vinahusiana nini kuondoka na viungo vya marehemu!hii nchi yetu hii bhana.
Hivi huko ma ulaya huko haya makitu yapogo?
 
idara mbili ukikoswa koswa na kupigwa kisukari,magonjwa ya ajabu basi kifo cha kujiua au kuuliwa
*hakimu
*askari
 
Yes, kwanini alilala guest??

hili ni swali zuli ili kujua kama kulala guest ni utaratibu wake/ alikuwa safarini/ alitaka kuwa faragha/ alikwepa kitu flani/ ali..??
Kuna member anadai jamaa alikuwa na demu wakapima ngoma...
 
Kwanza natoa pole kwa familia ndugu na jamaa kwa msiba huu mzito.

Jambo la pili ninahisi huyuHakimu hajajiua bali kasaidiwa kufa.

Uchunguzi wa kina ufanyike.
 
Yes, kwanini alilala guest??

hili ni swali zuli ili kujua kama kulala guest ni utaratibu wake/ alikuwa safarini/ alitaka kuwa faragha/ alikwepa kitu flani/ ali..??
Mahakama anayofanyia kazi na gest ilipo ni zaidi ya kilometa 100 kwahiyo huyo alikuja mjini sumbawanga kutokea kasanga, labda hana ndugu hapo mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…