Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
Yes, kwanini alilala guest??Swali la kwanza halina mantiki. Ni sawa na kuuliza kwanini gari liliendeshwa barabarani
Guest ni nyumba ya kulala wageni. Wapenda ngono wamegeuza maana.kuifia gesti kunazua maswli mengi zaidi.
1. kwanini alienda kulala gesti?
2. alikuwa peke yake?
3.alikunywa sumu au alinyweshwa?
4.
Ulevi wa kupindukia na uzinzi/uasharati au wivu wa kimapenzi vimekuwa ni vyanzo vikuu vya mauaji au kujiua.
Kujiua ni kosa la jinai. Mtu huchagua sehemu nzuri bila kubughuziwa ili afanye anachotaka.Yes, kwanini alilala guest??
hili ni swali zuli ili kujua kama kulala guest ni utaratibu wake/ alikuwa safarini/ alitaka kuwa faragha/ alikwepa kitu flani/ ali..??
Walikufanya nn?Sumbawamga nimefanya kaz nikaacha mwenyewee acha kbsa wafipa siyo watu poa
Kujiua ni kosa la jinai. Mtu huchagua sehemu nzuri bila kubughuziwa ili afanye anachotaka.
Unywe sumu halafu mtu atokee huko akuwahi akupeleke hospital upone. Unafikiri utabaki salama mbele ya mkono wa sheria? Inapofika hatua ya mtu kujiua ujue nafsi imekata tamaa. Watu wanamatatizo ukizingatia kipindi hiki cha hali ngumu
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Kasanga iliyopo Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Michael Royan (31) anadaiwa kujiua kwa kunywa sumu katika nyumba ya kulala wageni ya ‘gesti’ iliyopo Manispaa ya Sumbawanga mkoani humo.
Akizungumzia tukio hilo leo Jumanne Novemba 29, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani Rukwa, Theopista Mallya amesema tukio hilo limetokea Novemba 27 mwaka huu akiwa amelala katika nyumba ya wageni.
Amesema kuwa asubuhi ya siku hiyo ofisa upelelezi wa mkoa wa Rukwa alipigiwa simu na mmiliki wa nyumba hiyo na kueleza kuwa kuna mteja ambaye amelala na hajaamka na inaonekana kuwa amepoteza fahamu.
Kamanda Mallya amesema baada ya polisi kufika eneo hilo waliingia ndani ya chumba hicho na kumchukua mtu huyo kisha kumpeleka hospitali ya Rufani ya Mkoa ya Sumbawanga ambapo alipokelewa na baada ya uchunguzi wa awali wa kitabibu ilibainika kuwa mtu huyo amefariki dunia.
Amesema kuwa Polisi walipoanza uchunguzi wa tukio hilo walibaini kuwa marehemu alikua ni mtumishi wa Serikali katika idara ya mahakama mkoani hapa katika mahakama ya mwanzo na kituo chake kilikuwa ni Mahakama ya mwanzo Kasanga.
Kamanda huyo amesema kuwa uchunguzi wa awali unaonesha kuwa huenda marehemu alikunywa sumu, lakini baadhi ya viungo vyake vya mwili vimechukuliwa na kupeleka sampuli kwa mkemia mkuu ili kupata majibu sahihi ya nini kilicho sababisha kifo cha Hakimu huyo.
Amesema marehemu hakuacha ujumbe wowote hivyo imekua ni vigumi kufahamu sababu za tukio hilo lakini amedai kuwa jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo na litatoa taarifa baada ya uchunguzi huo kukamilika.
MWANANCHI
Kuna member anadai jamaa alikuwa na demu wakapima ngoma...Yes, kwanini alilala guest??
hili ni swali zuli ili kujua kama kulala guest ni utaratibu wake/ alikuwa safarini/ alitaka kuwa faragha/ alikwepa kitu flani/ ali..??
Unataka usomewe?Kuwa mtumishi wa mahakama si lazima kuwa hakimu, hiyo ya hakimu umeitoa wapi?
Kwanza natoa pole kwa familia ndugu na jamaa kwa msiba huu mzito.Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Kasanga iliyopo Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Michael Royan (31) anadaiwa kujiua kwa kunywa sumu katika nyumba ya kulala wageni ya ‘gesti’ iliyopo Manispaa ya Sumbawanga mkoani humo.
Akizungumzia tukio hilo leo Jumanne Novemba 29, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani Rukwa, Theopista Mallya amesema tukio hilo limetokea Novemba 27 mwaka huu akiwa amelala katika nyumba ya wageni.
Amesema kuwa asubuhi ya siku hiyo ofisa upelelezi wa mkoa wa Rukwa alipigiwa simu na mmiliki wa nyumba hiyo na kueleza kuwa kuna mteja ambaye amelala na hajaamka na inaonekana kuwa amepoteza fahamu.
Kamanda Mallya amesema baada ya polisi kufika eneo hilo waliingia ndani ya chumba hicho na kumchukua mtu huyo kisha kumpeleka hospitali ya Rufani ya Mkoa ya Sumbawanga ambapo alipokelewa na baada ya uchunguzi wa awali wa kitabibu ilibainika kuwa mtu huyo amefariki dunia.
Amesema kuwa Polisi walipoanza uchunguzi wa tukio hilo walibaini kuwa marehemu alikua ni mtumishi wa Serikali katika idara ya mahakama mkoani hapa katika mahakama ya mwanzo na kituo chake kilikuwa ni Mahakama ya mwanzo Kasanga.
Kamanda huyo amesema kuwa uchunguzi wa awali unaonesha kuwa huenda marehemu alikunywa sumu, lakini baadhi ya viungo vyake vya mwili vimechukuliwa na kupeleka sampuli kwa mkemia mkuu ili kupata majibu sahihi ya nini kilicho sababisha kifo cha Hakimu huyo.
Amesema marehemu hakuacha ujumbe wowote hivyo imekua ni vigumi kufahamu sababu za tukio hilo lakini amedai kuwa jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo na litatoa taarifa baada ya uchunguzi huo kukamilika.
MWANANCHI
Mahakama anayofanyia kazi na gest ilipo ni zaidi ya kilometa 100 kwahiyo huyo alikuja mjini sumbawanga kutokea kasanga, labda hana ndugu hapo mjiniYes, kwanini alilala guest??
hili ni swali zuli ili kujua kama kulala guest ni utaratibu wake/ alikuwa safarini/ alitaka kuwa faragha/ alikwepa kitu flani/ ali..??