Lissu alivyo miminiwa risasi humu wewe na id yako nyingine ya Kawe Alumni mlikuwa mnashabikia sana kila kukicha afe. Kuweni na staha japo kidogo. Utadhani ndondocha.Kuna watu wanaona sifa kupost habari za vifo. Huu upuuzi usiendekezwe jamani
Siyo lazima kufungua uzi huoKuna watu wanaona sifa kupost habari za vifo. Huu upuuzi usiendekezwe jamani
Kuna watu wanaona sifa kupost habari za vifo. Huu upuuzi usiendekezwe jamani
Kashasikiliza kesi za Lissu na kesi namba 457 ya viongozi wa jamii forum media.Kwa kweli sijawahi kumsikia. Nadhani alikua hapangiwi kesi sensitive
Kuna code nmepewa mitaa ya Mbezi beach kwa Zena.. kuna jambo napoPoleni Ndugu , jamaa na Marafiki.
Kuna code nmepewa mitaa ya Mbezi beach kwa Zena.. kuna jambo napo
Ova
KM wa afya kasema tuvae barakoa kujikinga na magonjwa yanayo ambukizwa kwa njia ya upumuaji.Mleta mada wewe utakuwa mchawi unayeshinda Mortuary nimekuwa nakufuatilia naona kutwa wewe ni kuanzisha mada za vifo tu
Vipi radio one na TBC ambao wana kipindi cha matangazo ya vifo?Kuna watu wanaona sifa kupost habari za vifo. Huu upuuzi usiendekezwe jamani
Sijui motive yake ila huenda kufanya kwake hivyo ni kukumbusha wengine wawe carefully (kuwakumbusha kifo kipo na kinaweza kuepukika husasan kile cha kuambukizwa na regularly kucheki afya).Mleta mada wewe utakuwa mchawi unayeshinda Mortuary nimekuwa nakufuatilia naona kutwa wewe ni kuanzisha mada za vifo tu
Swali lako ni zuri ila halijibikiWewe ni mwana familia yake?
My ribs...dah nimecheka na niko na majonzi..dah...mwambie huyoAcha ujinga watu wanapashana habari I knew this man in person alikuwa Mahakama ya Kisutu wakati flani....
bila hii taarifa ningejuaje nyau we
Nikifa NJOO UNIZIKE mkuu!Vipi radio one na TBC ambao wana kipindi cha matangazo ya vifo?
Inakuuma nini mkuu? Mbona radio one kila siku kunamatangazo ya vifoo.
Kuna watu inatusaidia kujua marafiki/jamaa waliofariki na tulipotezana nao mda mrefu.
Kama Jana nilipata habari ya Peter mamiro aliekufa na mkewe.
Achana na kuendekeza siasa kila mahali. Wengine wamekufa kwa ajali sio kila mtu ni corona.
Dah So sad jamani. Wapumzike kwa amani.