Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Za masiku bro? Mm mzima...niko ulimwengu mwingine mkuu...nilikumiss pia hasa jukwaa letu pendwa la siasaBibie upo? Ulipotelea wapi eti? Karibu sana jukwaani. Binafsi nilikumiss sana.....!!!!!
Chumvi iko wapi ?Wewe unapenda kuleta habari za kifo na kuongeza Chumvi. Niendelee
Bahati mbaya wao lazima watakuwa wanajikinga. Sidhani kama wanazembea kulinda uhai wao na wa wale wawapendao au familia zao. So watu ni vema wasisubiri kutangaziwa wachukue tahadhari.Mara ya mwisho kumuona wiki ya she
mara ya mwisho kuonana nae ilikuwa ni wiki ya sheria ... kumbe ndo tuliagana leo naambiwa Covid imepita naye why watu tusiwekwe wazi ijulikane tuchukue tahadhari kila unapopita ni misiba huyu atakwambia mama huyu atakwambia baba mwingine mama mdogo hapa nilipo mume wangu ananiambia baba mdogo wake hali si nzuri jamani why mnaficha Dorothy ni kutafuta ugali tu au kuna lingine sometimes i wish mawaziri waanze kudondoka na wao ili wauchukulie serious people are dying ...... shame on them
Mawakili/ nazungumzia mahakamaDuuh waliotangulia ni kina nani!?
sio kwa majina bali nao ni mahakimu ama!?
Lakini kafa hajafaHoja ni kwamba kumekua na wimbi kubwa la watu kuzusha ama kuzua taharuki kwa kuhusisha vifo vya watu na hili janga, kama haujui chanzo cha kifo chake umekuja mbio kuripoti kwa malengo gani?
Sifa nzuri anapewa marehemu usikaririRIP Hakimu Mwambapa, poleni familia na marafiki wote.
Kwa kuangalia utendaji wake kama mtu wa kutoa haki kwa kutafsiri sheria , marehemu alifanya kazi kwa weledi.
Mungu amlaze pema peponi, amen.
cc Kichuguu mbona umeadimika sana? Njoo uone ''the Bold Magufuli wako asivyojali.Aliyekuwa Hakimu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baadaye kuhamishiwa Mtwara, Geofrey Mwambapa amefariki Dunia.
Hakujatolewa taarifa zaidi za ugonjwa wake wala hospitali aliyofia
Pumzika kwa amani
===========
Mahakama ya Tanzania inasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wake aliyekuwa Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mahakama ya Wilaya ya Nanyumbu-Mtwara, Marehemu Godfrey Mwambapa (pichani) kilichotokea leo Februari 11, 2021.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Mahakama ya Wilaya ya Nanyumbu zinasema kuwa marehemu alifikwa na umauti leo saa moja (1) asubuhi alipokuwa akipelekwa hospitali ya Wilaya ya Nanyumbu.
Kwa sasa msiba upo nyumbani kwa marehemu Nanyumbu-Mtwara huku taratibu za kusafirisha mwili kuelekea Mbeya zikifanyika.
Mahakama inatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki kwa kuondokewa na mpendwa wao.
BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.
========
Hakimu Mwambapa katika uhai wake alisikiliza na kutoa hukumu katika kesi mojawapo zilizokuwa zinaikabili JamiiForums na Viongozi wake mahakama ya Kisutu. Hakimu Mwambapa aliwaachilia huru Maxence Melo na Micke William kwa kuona hawana Hatia. Baadae hakimu Mwambapa alihamishiwa mahakama ya Mtwara
Zaidi, soma:
Kesi namba 457: Mahakama yasema Maxence Melo na Micke William hawana Kesi ya kujibu! Yawaachia huru
View attachment 1699758
Ok imenifurahisha, it is like ni blacklisted
Apumzike kwa amani mtetezi wa haki za wasio na sautiAliyekuwa Hakimu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baadaye kuhamishiwa Mtwara, Geofrey Mwambapa amefariki Dunia.
Hakujatolewa taarifa zaidi za ugonjwa wake wala hospitali aliyofia
Pumzika kwa amani
===========
Mahakama ya Tanzania inasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wake aliyekuwa Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mahakama ya Wilaya ya Nanyumbu-Mtwara, Marehemu Godfrey Mwambapa (pichani) kilichotokea leo Februari 11, 2021.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Mahakama ya Wilaya ya Nanyumbu zinasema kuwa marehemu alifikwa na umauti leo saa moja (1) asubuhi alipokuwa akipelekwa hospitali ya Wilaya ya Nanyumbu.
Kwa sasa msiba upo nyumbani kwa marehemu Nanyumbu-Mtwara huku taratibu za kusafirisha mwili kuelekea Mbeya zikifanyika.
Mahakama inatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki kwa kuondokewa na mpendwa wao.
BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.
========
Hakimu Mwambapa katika uhai wake alisikiliza na kutoa hukumu katika kesi mojawapo zilizokuwa zinaikabili JamiiForums na Viongozi wake mahakama ya Kisutu. Hakimu Mwambapa aliwaachilia huru Maxence Melo na Micke William kwa kuona hawana Hatia. Baadae hakimu Mwambapa alihamishiwa mahakama ya Mtwara
Zaidi, soma:
Kesi namba 457: Mahakama yasema Maxence Melo na Micke William hawana Kesi ya kujibu! Yawaachia huru
View attachment 1699758
Ukijua chanzo utamfufua?
Kama anaona wivu, afe na yeye tutampostInakuuma nini mkuu? Mbona radio one kila siku kunamatangazo ya vifoo.
Kuna watu inatusaidia kujua marafiki/jamaa waliofariki na tulipotezana nao mda mrefu.
Kama jana nilipata habari ya Peter mamiro aliekufa na mkewe.
Achana na kuendekeza siasa kila mahali. Wengine wamekufa kwa ajali sio kila mtu ni corona.
Hufi leo wala kesho mkuu. Lazima ushuhudie anavyoongezwa muda.Nikifa NJOO UNIZIKE mkuu!