TANZIA Hakimu Godfrey Mwambapa afariki dunia

TANZIA Hakimu Godfrey Mwambapa afariki dunia

Inakuuma nini mkuu? Mbona radio one kila siku kunamatangazo ya vifoo.

Kuna watu inatusaidia kujua marafiki/jamaa waliofariki na tulipotezana nao mda mrefu.

Kama jana nilipata habari ya Peter mamiro aliekufa na mkewe.

Achana na kuendekeza siasa kila mahali. Wengine wamekufa kwa ajali sio kila mtu ni corona.
Mkuu usiumize kichwa kwa hiyo misukule! Huwa haina reasoning. Wenyewe wanaishi kwa maelekezo ya wakubwa zao. Na pia jukumu lao kubwa ni kuabudu na kusifu tu.

Ni kama vile bendera! Huishi kwa kufuata upepo. Akijitokeza Bosi wao kesho kutangaza uwepo wa korona nchini, utashangaa wote wanakuja humu na nyuzi za kumuunga mkono na pia kumsifia huyo kiongozi wao.
 
kifo ni somo tosha kwa sisi tulio baki hai, tenda mema kwa binaadamu wenzako, acha wivu acha chuki, acha majungu, penda binaadamu wenzako. kumbuka kifo pembeni yako kila sekunde.
pole sana kwa familia yake na wafanyakazi wenzake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna hoja
Hoja ni kwamba kumekua na wimbi kubwa la watu kuzusha ama kuzua taharuki kwa kuhusisha vifo vya watu na hili janga, kama haujui chanzo cha kifo chake umekuja mbio kuripoti kwa malengo gani?
 
Hoja ni kwamba kumekua na wimbi kubwa la watu kuzusha ama kuzua taharuki kwa kuhusisha vifo vya watu na hili janga, kama haujui chanzo cha kifo chake umekuja mbio kuripoti kwa malengo gani?
Je hajafa? Hoja yako ilikuwa kuzusha vifo, pamoja na moderator kuongeza nyama bado huamini kama hatuzushi au unataka mapambano ya kisiasa au kwa vile mimi niliyeleta hii taarifa natokea Chadema, mbona jana nimekuletea Taarifa ya Ntagazwa kufariki na amefariki kweli, sababu za wewe kutoniamini ni zipi na wewe ni nani hasa hadi kudhani usipoamini wewe basi taarifa inakuwa si ya kweli?
 
Aliyekuwa Hakimu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baadaye kuhamishiwa Mtwara, Geofrey Mwambapa amefariki Dunia.

Hakujatolewa taarifa zaidi za ugonjwa wake wala hospitali aliyofia

Pumzika kwa amani

===========

Mahakama ya Tanzania inasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wake aliyekuwa Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mahakama ya Wilaya ya Nanyumbu-Mtwara, Marehemu Godfrey Mwambapa (pichani) kilichotokea leo Februari 11, 2021.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Mahakama ya Wilaya ya Nanyumbu zinasema kuwa marehemu alifikwa na umauti leo saa moja (1) asubuhi alipokuwa akipelekwa hospitali ya Wilaya ya Nanyumbu.

Kwa sasa msiba upo nyumbani kwa marehemu Nanyumbu-Mtwara huku taratibu za kusafirisha mwili kuelekea Mbeya zikifanyika.

Mahakama inatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki kwa kuondokewa na mpendwa wao.

BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.

========

Hakimu Mwambapa katika uhai wake alisikiliza na kutoa hukumu katika kesi mojawapo zilizokuwa zinaikabili JamiiForums na Viongozi wake mahakama ya Kisutu. Hakimu Mwambapa aliwaachilia huru Maxence Melo na Micke William kwa kuona hawana Hatia. Baadae hakimu Mwambapa alihamishiwa mahakama ya Mtwara

Zaidi, soma:

Kesi namba 457: Mahakama yasema Maxence Melo na Micke William hawana Kesi ya kujibu! Yawaachia huru

View attachment 1699758
Wewe unapenda kuleta habari za kifo na kuongeza Chumvi. Niendelee
 
Hoja ni kwamba kumekua na wimbi kubwa la watu kuzusha ama kuzua taharuki kwa kuhusisha vifo vya watu na hili janga, kama haujui chanzo cha kifo chake umekuja mbio kuripoti kwa malengo gani?
Huyu Erythrocyte naye tunamuombea kwa Mungu amchukue ili habari zake nazo ziwekwe chumvi.
 
Aliyekuwa Hakimu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baadaye kuhamishiwa Mtwara, Geofrey Mwambapa amefariki Dunia.

Hakujatolewa taarifa zaidi za ugonjwa wake wala hospitali aliyofia

Pumzika kwa amani

===========

Mahakama ya Tanzania inasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wake aliyekuwa Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mahakama ya Wilaya ya Nanyumbu-Mtwara, Marehemu Godfrey Mwambapa (pichani) kilichotokea leo Februari 11, 2021.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Mahakama ya Wilaya ya Nanyumbu zinasema kuwa marehemu alifikwa na umauti leo saa moja (1) asubuhi alipokuwa akipelekwa hospitali ya Wilaya ya Nanyumbu.

Kwa sasa msiba upo nyumbani kwa marehemu Nanyumbu-Mtwara huku taratibu za kusafirisha mwili kuelekea Mbeya zikifanyika.

Mahakama inatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki kwa kuondokewa na mpendwa wao.

BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.

========

Hakimu Mwambapa katika uhai wake alisikiliza na kutoa hukumu katika kesi mojawapo zilizokuwa zinaikabili JamiiForums na Viongozi wake mahakama ya Kisutu. Hakimu Mwambapa aliwaachilia huru Maxence Melo na Micke William kwa kuona hawana Hatia. Baadae hakimu Mwambapa alihamishiwa mahakama ya Mtwara

Zaidi, soma:

Kesi namba 457: Mahakama yasema Maxence Melo na Micke William hawana Kesi ya kujibu! Yawaachia huru

View attachment 1699758
Kumbe aliadhibiwa kwa kuwaachia huru!
 
Hakimu Mwambapa katika uhai wake alisikiliza na kutoa hukumu katika kesi mojawapo zilizokuwa zinaikabili JamiiForums na Viongozi wake mahakama ya Kisutu. Hakimu Mwambapa aliwaachilia huru Maxence Melo na Micke William kwa kuona hawana Hatia. Baadae hakimu Mwambapa alihamishiwa mahakama ya Mtwara

RIP Hakimu Mwambapa, poleni familia na marafiki wote.

Kwa kuangalia utendaji wake kama mtu wa kutoa haki kwa kutafsiri sheria, marehemu alifanya kazi kwa weledi mkubwa.

Mungu amlaze pema peponi, amen.
 
Aliyekuwa Hakimu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baadaye kuhamishiwa Mtwara, Geofrey Mwambapa amefariki Dunia.

Hakujatolewa taarifa zaidi za ugonjwa wake wala hospitali aliyofia

Pumzika kwa amani

===========

Mahakama ya Tanzania inasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wake aliyekuwa Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mahakama ya Wilaya ya Nanyumbu-Mtwara, Marehemu Godfrey Mwambapa (pichani) kilichotokea leo Februari 11, 2021.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Mahakama ya Wilaya ya Nanyumbu zinasema kuwa marehemu alifikwa na umauti leo saa moja (1) asubuhi alipokuwa akipelekwa hospitali ya Wilaya ya Nanyumbu.

Kwa sasa msiba upo nyumbani kwa marehemu Nanyumbu-Mtwara huku taratibu za kusafirisha mwili kuelekea Mbeya zikifanyika.

Mahakama inatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki kwa kuondokewa na mpendwa wao.

BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.

========

Hakimu Mwambapa katika uhai wake alisikiliza na kutoa hukumu katika kesi mojawapo zilizokuwa zinaikabili JamiiForums na Viongozi wake mahakama ya Kisutu. Hakimu Mwambapa aliwaachilia huru Maxence Melo na Micke William kwa kuona hawana Hatia. Baadae hakimu Mwambapa alihamishiwa mahakama ya Mtwara

Zaidi, soma:

Kesi namba 457: Mahakama yasema Maxence Melo na Micke William hawana Kesi ya kujibu! Yawaachia huru

View attachment 1699758
Alikuepo Dodoma siku ile ya kuadhimisha Uhuru wa Mahakama? Kama alikuweopo basi huyu atakua wa tatu tangu juzi
 
Alikuepo Dodoma siku ile ya kuazimisha Uhuru wa Mahakama? Kama alikueopo basi huyu atakua wa tatu tangu juzi
Duuh waliotangulia ni kina nani!?
Sio kwa majina bali nao ni mahakimu ama!?
 
Back
Top Bottom