kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Aliyesikiliza kesi ya akina magomba alikuwa na uhakika gani kuwa sahihi za waliokuwa wanawakilishwa kwenye kesi zilikuwa hasijaghuhiwa?
Magoma anasema kuwa hukumu ya kesi alikuwanayo yeye mwenyewe na hajamkabidhi mtu yeyote, je hukumu ilifikaje mitandaoni, nani kawapa walioitoa kwenye public?
Aliyesikiliza kesi hana la kujibu?
Magoma anasema kuwa hukumu ya kesi alikuwanayo yeye mwenyewe na hajamkabidhi mtu yeyote, je hukumu ilifikaje mitandaoni, nani kawapa walioitoa kwenye public?
Aliyesikiliza kesi hana la kujibu?