peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Huko Kilimanjaro, kesho tarehe 8.2.2024, Afisaelimu elimu Mkoa naye amempitisha mkeka wa lazima Kila mwalimu kuchangia fedha ili waweze kwenda kwenye kikao chake cha mkoa .
Kikao hicho kinafanyika tar 8.2.2024 ili fedha zimekusanywa mamilioni Kwa maelfu kutoka kwenye mifuko ya walimu.
Mkuu wa Mkoa tumempigia simu kumjulisha sekeseke Hilo , amepokea akasema mama Anaupiga mwingi.
Hali sio shwari hata kidogo Kwa watumishi wa umma.
Kikao hicho kinafanyika tar 8.2.2024 ili fedha zimekusanywa mamilioni Kwa maelfu kutoka kwenye mifuko ya walimu.
Mkuu wa Mkoa tumempigia simu kumjulisha sekeseke Hilo , amepokea akasema mama Anaupiga mwingi.
Hali sio shwari hata kidogo Kwa watumishi wa umma.