DOKEZO Hakimu wa Mkoa Rukwa Mh Saguda awakata pesa za posho watumishi wa mahakama kwaajili ya msiba wa mama mkwe wa Jaji Mfawidhi bila ridhaa yao

DOKEZO Hakimu wa Mkoa Rukwa Mh Saguda awakata pesa za posho watumishi wa mahakama kwaajili ya msiba wa mama mkwe wa Jaji Mfawidhi bila ridhaa yao

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huko Kilimanjaro, kesho tarehe 8.2.2024, Afisaelimu elimu Mkoa naye amempitisha mkeka wa lazima Kila mwalimu kuchangia fedha ili waweze kwenda kwenye kikao chake cha mkoa .

Kikao hicho kinafanyika tar 8.2.2024 ili fedha zimekusanywa mamilioni Kwa maelfu kutoka kwenye mifuko ya walimu.

Mkuu wa Mkoa tumempigia simu kumjulisha sekeseke Hilo , amepokea akasema mama Anaupiga mwingi.


Hali sio shwari hata kidogo Kwa watumishi wa umma.
 
Habarini,
Haya mambo ya Umungu mtu ndani ya mahakama yamepitiliza kiasi kwamba watumishi wanafanyiwa mambo ya ajabu hasa kwenye maslahi yao kukatwa ovyo bila ridhaa zao.

Ni hivi majuzi tu Jaji Mfawidhi ambaye aliripoti Kanda ya Sumbawanga alifiwa na mama mkwe wake chakushangaza Hakimu wa Mkoa Rukwa Mh. Saguda(Ex-Police/Msukuma) aliamrisha watumishi wote kukatwa posho zao kwaajili ya rambirambi ya msiba wa mama mkwe wa jaji mfawidhi huyo.

Kwakweli huu ni uonevu mambo ya kuchangia misiba au sherehe ni hiari ya mtu siyo kuchangishwa kwa lazima.

Watumishi hao wamekatwa Tshs. 50,000/= kwa 20,000/= kitu ambacho ni uonevu.

Tunaomba Jaji Mkuu na Waziri husika mkemee haya kwani double standard zimezidi ndani ya idara ya mahakama.
Nimecheka kusikia hata nyie wabobezi wa sheria mnadhurumiwa na hamjui pa kwenda.
Mi nungelikuwa ni wewe nigemfungulia kesi mahakamani ili washughulikiwe badala ya humu jamii forums
 
Ila watanzania tuna laana. Hata hili nalo mnaombea msaada? Fedha yako inaibiwa bila ridhaa halafu unalialia badala kuidai? Unganane wote mdai hizo fedha, huyo siyo mama mkwe wenu wala mama mkwe wa Tanzania. Mijitu ina mishahara mikubwa halafu mnaiogopa?
Wewe haujui fitina za maofisini, ungekaa kimya usingepungukiwa na kitu.
 
Habarini,
Haya mambo ya Umungu mtu ndani ya mahakama yamepitiliza kiasi kwamba watumishi wanafanyiwa mambo ya ajabu hasa kwenye maslahi yao kukatwa ovyo bila ridhaa zao.

Ni hivi majuzi tu Jaji Mfawidhi ambaye aliripoti Kanda ya Sumbawanga alifiwa na mama mkwe wake chakushangaza Hakimu wa Mkoa Rukwa Mh. Saguda(Ex-Police/Msukuma) aliamrisha watumishi wote kukatwa posho zao kwaajili ya rambirambi ya msiba wa mama mkwe wa jaji mfawidhi huyo.

Kwakweli huu ni uonevu mambo ya kuchangia misiba au sherehe ni hiari ya mtu siyo kuchangishwa kwa lazima.

Watumishi hao wamekatwa Tshs. 50,000/= kwa 20,000/= kitu ambacho ni uonevu.

Tunaomba Jaji Mkuu na Waziri husika mkemee haya kwani double standard zimezidi ndani ya idara ya mahakama.
Saguda de 47 mtu wangu wa nguvu. Saguda47
 
Kaka wewe ni mtu wa mlengo wa misimamo mikali na migumu .

Actually wewe ni mimi na mimi ni wewe , uko na ujasiri usiosimulika na mimi niko hivyo pia .

But hii ni Tanzania ukiwa wa namna hii hawakawii kusema unavuta mjani .

But endelea watu wa kariba yetu hatukuwahi kuonewa na daima tunaheshimiwa sana kwenye jamii bila kusahau kuogopeka .

Finally wewe mleta mada ni lijinga na lizuzu tu yaani aliyekula hela yako yuko hapo ofisini unalete nyuzi ushubwada huku JF ilihali mtuhumiwa wako unaye .

Wake up haki haimbembelezwi bwana mdogo .

Ahsante , karibu yeyote kwa mashambulizi

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Wewe unayechangia mada ya lijinga na mimi mleta mada nani lijinga zaidi?

Kwa ujinga ulionao unashindwa kutambua nini maana ya jf na lengo lake ufahamu wako na mbuzi hauna kasoro,hao wanasiasa wenzako wanaopiga kelele unadhani wanakusaidia wewe au familia zao?


Mwisho siyo kila uzi lazima uvue nguo nyingine kaa kimya tu kwani hazijaletwa kwaajili yako,mb...a!!

Sent from my SH-52C using JamiiForums mobile app
 
Huko Kilimanjaro, kesho tarehe 8.2.2024, Afisaelimu elimu Mkoa naye amempitisha mkeka wa lazima Kila mwalimu kuchangia fedha ili waweze kwenda kwenye kikao chake cha mkoa .

Kikao hicho kinafanyika tar 8.2.2024 ili fedha zimekusanywa mamilioni Kwa maelfu kutoka kwenye mifuko ya walimu.

Mkuu wa Mkoa tumempigia simu kumjulisha sekeseke Hilo , amepokea akasema mama Anaupiga mwingi.


Hali sio shwari hata kidogo Kwa watumishi wa umma.
Eti mama anaupiga mwingi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom