rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Yani sasa ndo nimeamini Ali Kiba ndo mtu ambae hataki kabisa bifu lake na Diamond life maana atakosa promo kimziki kabisa.
Kama ilivyokuwa ushindani wa Ray na Kanumba ukamfanya Ray nae aonekane mkali ila Kanumba alivyoondoka ukweli ukadhihirika.
ila sasa ukweli upo wazi kuwa Alikiba anategemea sana bifu lake na Diamondi katika mziki wake na ana roho ya kwanini sana kibakuli.
Kama ilivyokuwa ushindani wa Ray na Kanumba ukamfanya Ray nae aonekane mkali ila Kanumba alivyoondoka ukweli ukadhihirika.
ila sasa ukweli upo wazi kuwa Alikiba anategemea sana bifu lake na Diamondi katika mziki wake na ana roho ya kwanini sana kibakuli.