kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Utopolo wameuza AK 47 kununua upinde na mishale,hovyo kabisa wamebakia kulalamika kama changudoa aliyekopwaNchimbi ametimiza mwaka hajui goli ni nini. Sarpong aliyebebwa kama mfalme na baadhi yao ana goli nne karibu msimu unaisha.
Pamoja na papaa kutopewa nafasi lakini alikuwa na jumla ya magoli zaidi ya 10. Ukichukua na magoli ya mashindano mengine alikuwa na zaidi ya magoli 15.
Laana ya papaa itawatesa sana.
Kabisa jamaa analijua goli sana yulePapaa Molinga nii chibonge lakini lilikua linakipaji cha kucheka na nyavu.
Usipotumia vile vilevi vyako vya hatari unakuwaga na busaraDah!! Ila tangu Mwinyi Zahera amuuze Makambo, na mkataba wa Tambwe uishe, Yanga imejikuta ina washambuliaji butu mpaka basi!!
Nchimbi, Sarpong, Waziri Junior, Fiston, na wengineo wengi, hakika wame prove failure! Mimi ni shabiki wa Yanga. Na katika hili nakubali, Yanga tuna washambuliaji butu na pia hatuna viungo washambuliaji wabunifu aina ya Chama, Louis,nk!!