kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Nchimbi ametimiza mwaka hajui goli ni nini. Sarpong aliyebebwa kama mfalme na baadhi yao ana goli nne karibu msimu unaisha.
Pamoja na papaa kutopewa nafasi lakini alikuwa na jumla ya magoli zaidi ya 10. Ukichukua na magoli ya mashindano mengine alikuwa na zaidi ya magoli 15.
Laana ya papaa itawatesa sana.
Pamoja na papaa kutopewa nafasi lakini alikuwa na jumla ya magoli zaidi ya 10. Ukichukua na magoli ya mashindano mengine alikuwa na zaidi ya magoli 15.
Laana ya papaa itawatesa sana.