Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Kudadeki umejua kufukua kaburi πŸ˜†πŸ˜†
 
Waliopita na jamaa wapo wengi sana humu sista! Nasikia nawewe una wako kabisa humu mlizaa nae mtoto pia??? Eti ni kweli???
Ni kweli baba mtoto wangu yupo humu JF ila hatukujuana hapa tulijuana nje ya JF, baada ya mahusiano kukua ndio nikaja jua yumo humu pia na ID zetu tukajuana.
 
Oyooooooo!! Haya wambea wenzangu finally tuna mtoto wetu kweli Miongozo Jr
Awwhhhh!! [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]

Uzi ufungwe km vipi!! Haya wengine mnaobanjuka kazi iendelee tuzidi kuwapata member wengi wa baadae JF
Weee uduguuu mshendwweeee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜!! Jr chapa ya Mwambaa kama mwambaa oregenareee hiii afu nimeshawaletea Jr mwinginee mjueeee sikuhizi nakeshajeee Ndiomana sina hata pozi la kuselfika 🀠🀠🀠 fanyeni mkuje kunipongeza ndugu yenuuuuπŸ€ πŸ€ πŸ˜‚!!
Ila saivi ni wa kike!!
 

Unamtafuta Kasie mahaba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lete ubuyu tunataka tufanye sensa JF na watoto wakiwemo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwenye sensa ya JF katoto kangu kasiwemo sio product ya JF kabisaa.....ni product ya nje ya JF halafu tukajikuta tumo huku wote
 

Sisi tunajua kati ya hao mmoja wetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Oyooooooo!! Haya wambea wenzangu finally tuna mtoto wetu kweli Miongozo Jr
Awwhhhh!! [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]

Uzi ufungwe km vipi!! Haya wengine mnaobanjuka kazi iendelee tuzidi kuwapata member wengi wa baadae JF
Nyieeee weeee mshendwweeee ! uduguuu chapa la mikoanii sio la Daslamu hilii treinnaaa πŸ˜‚πŸ˜‚!!
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Aaaah nilipitwa kumbe duuuh.

Sio poa lkn huyo Kasie si mbibi πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Aaaah nacheka kaa fala hapa nilipo duuuh noma sana.

Bora umeweka link acha nianze kuperuzi.
 
H
Hongera cousin msalimie miongozo junior
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Aaaah nilipitwa kumbe duuuh.

Sio poa lkn huyo Kasie si mbibi [emoji2][emoji2][emoji2]

Aaaah nacheka kaa fala hapa nilipo duuuh noma sana.

Bora umeweka link acha nianze kuperuzi.
Kaperuzi mle kuna umbea wa kutosha[emoji1787][emoji1787] mpaka mods wakatufungia kukoment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…