Kudadeki umejua kufukua kaburi ππSmart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....
Habari za jioni mabibi na mabwana wa MMU, Kasie huyuhuyu mnayemjua na kumuona humu JF propozo imemdondokea na ameafiki kusheherekea sikukuu za Christmas na mwaka mpya akiwa na Smart911 na hii ndo muendelezo kwa kipindi chote cha mwaka 2017. Yule jamaa wa we like to party from Wednesday to...www.jamiiforums.com
Nisipopewa ban leo sijui [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Ni kweli baba mtoto wangu yupo humu JF ila hatukujuana hapa tulijuana nje ya JF, baada ya mahusiano kukua ndio nikaja jua yumo humu pia na ID zetu tukajuana.Waliopita na jamaa wapo wengi sana humu sista! Nasikia nawewe una wako kabisa humu mlizaa nae mtoto pia??? Eti ni kweli???
Waliopita na jamaa wapo wengi sana humu sista! Nasikia nawewe una wako kabisa humu mlizaa nae mtoto pia??? Eti ni kweli???
Wakinipa ban na weekend hii nitakufwa mimi yaaniWatu wamekula Ban [emoji2][emoji2] hatari naona unaelekea uko sasa
Weee uduguuu mshendwweeee ππππ!! Jr chapa ya Mwambaa kama mwambaa oregenareee hiii afu nimeshawaletea Jr mwinginee mjueeee sikuhizi nakeshajeee Ndiomana sina hata pozi la kuselfika π€ π€ π€ fanyeni mkuje kunipongeza ndugu yenuuuuπ€ π€ π!!Oyooooooo!! Haya wambea wenzangu finally tuna mtoto wetu kweli Miongozo Jr
Awwhhhh!! [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Uzi ufungwe km vipi!! Haya wengine mnaobanjuka kazi iendelee tuzidi kuwapata member wengi wa baadae JF
Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....
Habari za jioni mabibi na mabwana wa MMU, Kasie huyuhuyu mnayemjua na kumuona humu JF propozo imemdondokea na ameafiki kusheherekea sikukuu za Christmas na mwaka mpya akiwa na Smart911 na hii ndo muendelezo kwa kipindi chote cha mwaka 2017. Yule jamaa wa we like to party from Wednesday to...www.jamiiforums.com
Nisipopewa ban leo sijui [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwenye sensa ya JF katoto kangu kasiwemo sio product ya JF kabisaa.....ni product ya nje ya JF halafu tukajikuta tumo huku wote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lete ubuyu tunataka tufanye sensa JF na watoto wakiwemo
Weee uduguuu mshendwweeee [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]!! Jr chapa ya Mwambaa kama mwambaa oregenareee hiii afu nimeshawaletea Jr mwinginee mjueeee sikuhizi nakeshajeee Ndiomana sina hata pozi la kuselfika [emoji1783][emoji1783][emoji1783] fanyeni mkuje kunipongeza ndugu yenuuuu[emoji1783][emoji1783][emoji23]!!
Ila saivi ni wa kike!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kina mama miongozo wapo wengiKudadeki umejua kufukua kaburi [emoji38][emoji38]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwenye sensa ya JF katoto kangu kasiwemo sio product ya JF kabisaa.....ni product ya nje ya JF halafu tukajikuta tumo huku wote
Nyieeee weeee mshendwweeee ! uduguuu chapa la mikoanii sio la Daslamu hilii treinnaaa ππ!!Oyooooooo!! Haya wambea wenzangu finally tuna mtoto wetu kweli Miongozo Jr
Awwhhhh!! [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Uzi ufungwe km vipi!! Haya wengine mnaobanjuka kazi iendelee tuzidi kuwapata member wengi wa baadae JF
πππππ Aaaah nilipitwa kumbe duuuh.Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....
Habari za jioni mabibi na mabwana wa MMU, Kasie huyuhuyu mnayemjua na kumuona humu JF propozo imemdondokea na ameafiki kusheherekea sikukuu za Christmas na mwaka mpya akiwa na Smart911 na hii ndo muendelezo kwa kipindi chote cha mwaka 2017. Yule jamaa wa we like to party from Wednesday to...www.jamiiforums.com
Nisipopewa ban leo sijui [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Dah uchawi huuππ€π€£π€£π, intelli Jr labda 2026Zamu yenu mtuletee Intelli Jr [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cousin mbona unaenda mbele na kurudi nyumaNyieeee weeee mshendwweeee ! uduguuu chapa la mikoanii sio la Daslamu hilii treinnaaa ππ!!
Ingekuwa product ya JF mbona ningesema hakuna ninaemwogopa huku. Kama huwa namchamba hukuhuku nishindwe kukubali kwamba mikaka ya JF haifai[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usianze utetezi best huyo JF product Acha kona kona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nini kilikusibu labda itawasadia wadogo zako siku moja, mrejeshoIngekuwa product ya JF mbona ningesema hakuna ninaemwogopa huku. Kama huwa namchamba hukuhuku nishindwe kukubali kwamba mikaka ya JF haifai[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hongera cousin msalimie miongozo juniorWeee uduguuu mshendwweeee ππππ!! Jr chapa ya Mwambaa kama mwambaa oregenareee hiii afu nimeshawaletea Jr mwinginee mjueeee sikuhizi nakeshajeee Ndiomana sina hata pozi la kuselfika π€ π€ π€ fanyeni mkuje kunipongeza ndugu yenuuuuπ€ π€ π!!
Ila saivi ni wa kike!!
Kaperuzi mle kuna umbea wa kutosha[emoji1787][emoji1787] mpaka mods wakatufungia kukoment[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Aaaah nilipitwa kumbe duuuh.
Sio poa lkn huyo Kasie si mbibi [emoji2][emoji2][emoji2]
Aaaah nacheka kaa fala hapa nilipo duuuh noma sana.
Bora umeweka link acha nianze kuperuzi.