Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hatudhindwiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ€ πŸ€ πŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka kama chizi khaaa....sema ID yake watu hawaijui bado so hata nikimchamba huwa wanamhisi mwingine tofauti. Ila siku nikilewa kama Kondeboy nitamtag kabisa ( ila ni mpole hanichokozagi kabisa namuoneaga tuu)

Ila kulewa raha afu uwe na hasira!!! Unamchambaaaaaa ukimaliza unaenda kushushia na supu yake ya mkia [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
ohhhh, polee, sasa unakosea sana pale unapotuhukumu wanaume wote kwa kosa la mtu moja, me nadhani haikuwa bahati yako.
Sijawatuhumu mkuu, nilisema ingekuwa tulikutana JF na baba mtoto ningekuwa namchamba kwamba wanaume wa JF hawafai ila kwa kuwa tulijuana nje ya JF siwalaumu kabisa. Umenielewa vibaya
 
kuna Yule mliozaa na Chizi Maarifa akaja kumsalimia na kumuona mtoto na kuondoka nae bila ridhaa yako mamamtoto au huyo ni mwingine??? Na huyo mdogo ni kweli kuwa ni wa intelligent Bussinessman ??
Heeehh kumbe humu kuna mambo mengi hivi nyieee??🀠🀠🀠🀠🀠!!

Jf sihamiiiiii πŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ˜πŸ€£
 
Ni relax ili tuje tufikie Huku ehhπŸ€”πŸ€’, haya sema right nowπŸ€’πŸ€’
πŸ€§πŸ€§πŸ€§πŸ€•πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£

Ms eyes mshamba_hachekwi Gily Gru

Mtasema pilau italiwa wapi nije maana sio poa.
Slogan sasaivi ni
#ABIRIA CHUNGA MPENZI WAKO#

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
kuna Yule mliozaa na Chizi Maarifa akaja kumsalimia na kumuona mtoto na kuondoka nae bila ridhaa yako mamamtoto au huyo ni mwingine??? Na huyo mdogo ni kweli kuwa ni wa intelligent Bussinessman ??
Intelligent businessman kaka kumbe tuna mtoto na hatusemi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Hapana mkuu chizi maarifa sijazaa nae na wala simjui kabisa personally ni kiki tuu alitembelea na akaaminika. Baba wa mtoto wangu yupo humu ni mwingine kabisa yeye hana ushamba wa kubishana na mm hata nikimsema huwa analike tuu na kupita. Ni mtu fulani hivi ambae sio mswahili kabisa ( namchukia ila maua yake nampa).

Intelligent businessman ni kaka yangu wa hiari ingawa simfahamu hata kwa sura, so mtoto wangu mdogo hahusiki nae na baba yake hajui hata kama kuna kitu inaitwa JF
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni mbibi lakini inaonekana bado yupo vizuri sekta hizo...wamba hawachagui hawabagui kabisa. Tulifukua kaburi hiyo siku ndio wakafunga coment kabisa.

Naikumbuka hiyo siku watu walitukanana kabisa huko coment zikafutwa
Hiyo kawaida hiyo mods wakishaona thread za jau jau wanafunga tu comments chap.

Anyway bora hata nimeuona ✊✊
 
Back
Top Bottom