Ingekuwa product ya JF mbona ningesema hakuna ninaemwogopa huku. Kama huwa namchamba hukuhuku nishindwe kukubali kwamba mikaka ya JF haifai[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mods nao jau wanafunga ya nn inabidi tuende tukaliamshe kule.Kaperuzi mle kuna umbea wa kutosha[emoji1787][emoji1787] mpaka mods wakatufungia kukoment
Mshendwweeee uduguuuu [emoji1783][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!! Afu nina kachanga kengine Uduguuu Penseli 4 Ndiomana nimetingwa![emoji3167]β[emoji480][emoji3167]β[emoji480][emoji3167]β[emoji480]
Tulishindwana tuu mkuu nahisi nilitaka kuingia katika ndoa nikiwa bado sijajiandaa na changamoto zake ( 24 yrs) na mwenzangu hakuwa na maamuzi yake binafsi kama baba wa familia ( mtoto wa mama). So tukaishia kutoleana mahali na kupata mtoto tuu.nini kilikusibu labda itawasadia wadogo zako siku moja, mrejesho
H
Hongera cousin msalimie miongozo junior
Muongozo jr khakhakhaaaa π€ π€ π€ ππ π€£π€£π€£π€£π!H
Hongera cousin msalimie miongozo junior
π π π π tukate ticket ya airtanzania mapemaaaShogare tupange weekend moja tukamuone kitoto chetu cha JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah uchawi huu[emoji23][emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji23], intelli Jr labda 2026
Weeee mshendwweeee uduguuuu!!Wewe mjadala tushafunga sina tatizo na wewe tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpe hi Miongozo Jr
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka kama chizi khaaa....sema ID yake watu hawaijui bado so hata nikimchamba huwa wanamhisi mwingine tofauti. Ila siku nikilewa kama Kondeboy nitamtag kabisa ( ila ni mpole hanichokozagi kabisa namuoneaga tuu)Uwe unanitag unavyomchamba shem, mwenzio napenda kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€ ! Saivi kuna kachanga kengine ππππ π π π tukate ticket ya airtanzania mapemaaa
Tena utuambie mapema tusipoteze damu yetu kama miongozo Jr...Dah uchawi huu[emoji23][emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji23], intelli Jr labda 2026
Basi jamaniπ€£πππ€£Tumekaa paleee....mimi kama wifi chaumbea nitakuwa mfukua makaburi na kuscreenshot coment
Nishasema labda 2026ππ€£π€£, halafu damu yangu haipotei hovyoππ€£π€Tena utuambie mapema tusipoteze damu yetu kama miongozo Jr...
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tukate ticket ya airtanzania mapemaaa
ohhhh, polee, sasa unakosea sana pale unapotuhukumu wanaume wote kwa kosa la mtu moja, me nadhani haikuwa bahati yako.Tulishindwana tuu mkuu nahisi nilitaka kuingia katika ndoa nikiwa bado sijajiandaa na changamoto zake ( 24 yrs) na mwenzangu hakuwa na maamuzi yake binafsi kama baba wa familia ( mtoto wa mama). So tukaishia kutoleana mahali na kupata mtoto tuu.
Weeee mshendwweeee uduguuuu!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni mbibi lakini inaonekana bado yupo vizuri sekta hizo...wamba hawachagui hawabagui kabisa. Tulifukua kaburi hiyo siku ndio wakafunga coment kabisa.Mods nao jau wanafunga ya nn inabidi tuende tukaliamshe kule.
Mi nachocheka ni jamaa anatembea na mbibi really.
Huyo kasie unajua kastaafu majuzi tu she's 60+ for God's sake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Daah jf nimekosa vingi
kuna Yule mliozaa na Chizi Maarifa akaja kumsalimia na kumuona mtoto na kuondoka nae bila ridhaa yako mamamtoto au huyo ni mwingine??? Na huyo mdogo ni kweli kuwa ni wa intelligent Bussinessman ??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka kama chizi khaaa....sema ID yake watu hawaijui bado so hata nikimchamba huwa wanamhisi mwingine tofauti. Ila siku nikilewa kama Kondeboy nitamtag kabisa ( ila ni mpole hanichokozagi kabisa namuoneaga tuu)