Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Nipo kabisa sema Cute Wife sijamuona leo akinipa hiYuko wapi Unique Flower
Kuna mambo yanafurahisha sana...Hahahaha,
Nimeanza kwa kucheka kwa maana Smart911 is among the strangest members humu JF.
Mzee wa:
"Ngoja waje kukupa muongozo"
"binadamu wa siku hizi ni wabishi sana"
"Natumaini mtoa mada ulipata muongozo"
"cc:mahondaw"
Jamaa wala hanaga cha kuongea zaidi ya hizi kauli. Daah!
Kijiwe nongwa kimenoga....ngoja nishushie pepusiiiUmeona udugu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo kijiwe nongwa kimenoga balaa
Mkuu naomba nyota yako nitembelee japo mwezi huuπ€£π€£π€£Kuna mambo yanafurahisha sana...
AmeshafikaHata sijui yuko wapi leo, simuoni kabisa huku
Kwa nani tena ??anasema tu ngoja wajeπ, habari ya uzima shemπ
Hahahahaaa leo hakuna kuhama kabisa
Nna matumaini utakuwa umepata mwongozoπMkuu naomba nyota yako nitembelee japo mwezi huuπ€£π€£π€£
Au mambo yao tuwaachie wenyewe?π€£π€£
Pole shem nilikusahau msininyime basi kadi@ur young Leejay49
Afadhali umekuja kakamkubwa !!Kuna mambo yanafurahisha sana...
calm downPole shem nilikusahau msininyime basi kadi
ngoja wajeAfadhali umekuja kakamkubwa !!
Tatizo binadamu ni wabishi sana!!
Mambo yao tuwaachie wenyewe [emoji16]
Ulikua wapi jirani ππNipo shosti nimeamka na ubuyu wa moto huku watu wanasasambua ya mafichoni [emoji23][emoji23][emoji23]
Niambie uko powa?
My bad... π€Umetumia maneno ya chumbani sana...π