Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hahahahaa wee mwanangu sio wa chizi maarifa, baba yake yupo kwenye thread ya road trip na sports kule ndio mada zake sio mbea kila siku anaanzisha mada za mademu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unalo leo shosti mtoto wako kashapewa baba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nacheka hapa had sio powa Jf never boring haki duh!!
 
Hongereni sana wakuu, ngoja kwanza nisababishe na mimi, huwa sipendi kupitwa🤣🤣
 
Ha ha ha!
Kumbeee...!
Yeye anachora tu!
 
Unalo leo shosti mtoto wako kashapewa baba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nacheka hapa had sio powa Jf never boring haki duh!!
Alipewa baba toka muda mbona, nilianzishaga uzi baba mtoto wangu katoroka na mtoto baada ya siku chache huyo Chizi akaja kuujibu kama yeye ndio baba mtoto. Basi mpaka leo watu wanaamini ndio mhusika mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sema la Intelligent businessman ndio jipya nimelisikia leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…