Weee mshendwweeee uduguuuu [emoji1783]!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Ubuyu
Mkuu,Usipokuwa makini unaweza ukashinda humu ndani from January to December.
Year after year.
Sijui kwann JF ni tamu kuliko pornhub inabidi nijizuie tu kwa kweli ππ€£π€£
Hey Cute Wife,Sawa, kadi harusi ya nani tena??
Daz911 and Leejay49 official wedding announcement. Kindly contact Unique Flower, for wedding cardsπππΎNa nani tena anaolewa? Jirani Leejay49 mbona hujanambia?? Nani atakaribisha wageni km sio mimi jirani yako?
Kweli kabesaaa 8pipooo naona sikuhizi umeacha fujo zako za enzi hizoooπ€ !! Sijui ndio kuzeeka hukuu lolπ!!Manyewele kwani sisi wa JF si ndio wa kitaa tu...
JF huku tunaingia kupiga domo tu, lakini life letu la ukweli lipo kitaa...
Alipewa baba toka muda mbona, nilianzishaga uzi baba mtoto wangu katoroka na mtoto baada ya siku chache huyo Chizi akaja kuujibu kama yeye ndio baba mtoto. Basi mpaka leo watu wanaamini ndio mhusika mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sema la Intelligent businessman ndio jipya nimelisikia leo
Chizi maarifa ndio aliyesema watu wakaunganisha dots tuu.....mwanzoni nilikuwa namind baadae nikaona ujinga nimpotezee tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani nacheka mpk tumbo linauma trudie alivyoambiwa mtoto wake wa chizi maarifa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapi selfika au??Mkuu,
Kuna sehemu umejibizana hadi nikahisi vibaya. Kweli watu mna vipaji vyenu.
You crossed the line nadhani.Wapi selfika au??
Kwann ulijisikia vibaya π€π€π€
Jf never boring kwakweli acha tucheke tu hakuna namna!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani jf hata km hutaki ugomvi utalazimishwa tu!! Sasa watu washajua chizi ana mtoto na wewe
Na ninavyozidi kukataa watu ndio wanaamini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja siku nilewe aisee nimtaje mhusika mwenye mtoto haiwezekani nisingiziwe na kina chizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani jf hata km hutaki ugomvi utalazimishwa tu!! Sasa watu washajua chizi ana mtoto na wewe
Wowote unaoujuaWa nani?
Ooh kweli ilinibidi niweke mambo sawa bila kupigwa ban.You crossed the line nadhani.
Hey Cute Wife,
Daz911 and Leejay49 official wedding announcement. Kindly contact Unique Flower, for wedding cards[emoji112][emoji112][emoji898]
Intelligent businessman mkuu, imekuaje tena.Chizi maarifa ndio aliyesema watu wakaunganisha dots tuu.....mwanzoni nilikuwa namind baadae nikaona ujinga nimpotezee tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
It was a bit too much I guess.Ooh kweli ilinibidi niweke mambo sawa bila kupigwa ban.
Ndo nikafanya hivyo πππ
tunajitahidi kupelekea mambo mbiombio, familia zimeshakutana. Deal doneOyooooooooo!! Shem harusi tunayo Unique Flower mimi m/kiti kamati ya burudani lazima harusi iwe pambe WEUSI ndani ya nyumba tunapata ladha halisi ya hip hop [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji12]
Chizi maarifa ndio aliyesema watu wakaunganisha dots tuu.....mwanzoni nilikuwa namind baadae nikaona ujinga nimpotezee tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tunajitahidi kupelekea mambo mbiombio, familia zimeshakutana. Deal done
Jamani huyu ni kaka yangu tuu, tumefahamiana JF na hata kwa sura simjui, trust me huwa tunachat kwa coment tuu hata PM hatujawahi chat achilia mbali nje ya JF.Intelligent businessman mkuu, imekuaje tena.