Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani jf hata km hutaki ugomvi utalazimishwa tu!! Sasa watu washajua chizi ana mtoto na wewe
 
Yani nacheka mpk tumbo linauma trudie alivyoambiwa mtoto wake wa chizi maarifa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chizi maarifa ndio aliyesema watu wakaunganisha dots tuu.....mwanzoni nilikuwa namind baadae nikaona ujinga nimpotezee tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani jf hata km hutaki ugomvi utalazimishwa tu!! Sasa watu washajua chizi ana mtoto na wewe
Na ninavyozidi kukataa watu ndio wanaamini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja siku nilewe aisee nimtaje mhusika mwenye mtoto haiwezekani nisingiziwe na kina chizi
 
Chizi maarifa ndio aliyesema watu wakaunganisha dots tuu.....mwanzoni nilikuwa namind baadae nikaona ujinga nimpotezee tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Afu humu ukikasirika utakufa kwa sonona, watu wengi wanaongea wanachojisikia wewe furahi tu!!! Ukweli wa mambo unao mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…