Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hahah[emoji23][emoji23]..tatizo humu uongo mwingi sana jirani [emoji1787][emoji1787]

Afu haya masihara ya kuitana wapenzi yanawacost wengi hawapati wenzi walio serious [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi kuna mtu piem kila siku ananiambia, β€œMe ndo nakupenda kweli achana na drama za CW najua mnataniana” nacheka balaa
 
Anajua mnataniana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Itabidi niache utani nianze kuwa serious niolewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kuna ndoa iliowahi kutokea JF zaidi ya watu kulana kimasihara humu??
Humu kimasihara ndo naona imeshika sana kasiπŸ˜‚., kama zipo basi za wale members wasiofahamika sana...fanya muandike historia jirani πŸ˜ŠπŸ€—
 
Humu kimasihara ndo naona nimeshika sana[emoji23]., kama zipo basi za wale members wasiofahamika sana...fanya muandike historia jirani [emoji4][emoji847]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza nchekeeee!!! Wa kuoa yuko wapi? Humu tunafurahi tu siku zipite sijaona serious relationship ni kulana kirikiboy [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…