Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hahah[emoji23][emoji23]..tatizo humu uongo mwingi sana jirani [emoji1787][emoji1787]

Afu haya masihara ya kuitana wapenzi yanawacost wengi hawapati wenzi walio serious [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi kuna mtu piem kila siku ananiambia, “Me ndo nakupenda kweli achana na drama za CW najua mnataniana” nacheka balaa
 
Afu haya masihara ya kuitana wapenzi yanawacost wengi hawapati wenzi walio serious [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi kuna mtu piem kila siku ananiambia, “Me ndo nakupenda kweli achana na drama za CW najua mnataniana” nacheka balaa
Anajua mnataniana 😂😂😂
 
Humu kimasihara ndo naona nimeshika sana[emoji23]., kama zipo basi za wale members wasiofahamika sana...fanya muandike historia jirani [emoji4][emoji847]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza nchekeeee!!! Wa kuoa yuko wapi? Humu tunafurahi tu siku zipite sijaona serious relationship ni kulana kirikiboy [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Back
Top Bottom