Akina jf junior's sio[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]
Muache kwanza😂😂😂🙌Nimuite tumuulize? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muache kwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
HahahahaMe nawaombea wakilana kimasihara mimba ziingie tupate member wa kurithi mikoba yetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha
Poti Kuna mikundu wamevuruga kila ki2 week ngum hii ila jion nisome kitaalam🎯 uhakikaPhil unazingua, nenda na muda.
Lakini mkuu mwisho wa siku maisha lazima yaendelee kuteleza sio kuanguka. We broke up nikiwa na 25 yrs unataka kusema nisingezaa tena kisa tuu watoto watakuwa na ubini tofauti??Noma sana kijana kuamuliwa na wazazi, sema sasa kuzaa na watu tofauti tofauti nayo ni changamoto tu, watoto wanakuwa na ubini tofauti huku mama akiwa mmoja...
..mambo mazito haya!!
Para yako ya pili imebeba ujumbe wote, awe baba bora...ni laana kuzaa watoto watano kila mtu na baba yake!!Lakini mkuu mwisho wa siku maisha lazima yaendelee kuteleza sio kuanguka. We broke up nikiwa na 25 yrs unataka kusema nisingezaa tena kisa tuu watoto watakuwa na ubini tofauti??
Nilimwomba Mungu tuu nipate mtu sahihi ambae ataiangalia familia yake vizuri na kutupenda na kujua majukumu yake kama mume na baba, baada ya kumpata na kufwata taratibu zote nimetengeneza familia yangu.
[emoji1787][emoji1787] humu ndio nasema kumejaa villagers and teenagers. Badala aeleze yake yuko busy na kuponda wengine.Afu haya masihara ya kuitana wapenzi yanawacost wengi hawapati wenzi walio serious [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi kuna mtu piem kila siku ananiambia, “Me ndo nakupenda kweli achana na drama za CW najua mnataniana” nacheka balaa
Wengi hamnazoVijana waendelee kupelekeana moto, sisi tunataka jf junior’s wa kutosha [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wizo anazingua balaa nimecheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo hadi bibi K?Habari ndo hiyooooo!! Miongozi hana mbambamba ukijileta anapita na wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo hadi bibi K?
Mapenzi qumermae!Happy Birthday Mahondaw
mahondaw when i think of you... I long to feel your touch, am whispering in your ears, words are old as time, words only you hear because are mine... mahondaw remember the very first day i saw you and made my moves when you looked in my eyes... mahondaw because by now i know that you are...www.jamiiforums.com
Happy Birthday Mahondaw wangu
mahondaw wangu siku hii ni maalum ya maisha yako, nataka kuona tabasamu lako kwenye hii siku yako ya kuzaliwa. Hakuna kilicho bora kuliko kushiriki siku hii maalum na wewe mahondaw wangu, wewe ndiyo furaha yangu. Hakika najivunia kupata mpenzi aliyetulia mbele ya jamii ila mtundu sana uwapo na...www.jamiiforums.com
Mahondaw mpenzi wangu, kitandani usishuke zima taa kabisa
mahondaw I still remember the first day we met, you were too shy to say much at all... mahondaw remember the first day when I saw your face, remember the first day when you smiled at me i stepped to you and then i said to you are the woman i dreamed about, remember the first day when i called...www.jamiiforums.com
Happy Birthday Mahondaw wangu
I often find myself thinking of the many ways on how you bring joy and happiness to me with an encouraging word. You have a smile that’s always bright… I often find myself loving you mahondaw wangu... thinking how lucky I am to have you mahondaw wangu... I just want you to know i am always...www.jamiiforums.com
Darlin mbona hukufunguliwa uzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au kisa ulidandia treni kwa mbele
[emoji1787][emoji1787] humu ndio nasema kumejaa villagers and teenagers. Badala aeleze yake yuko busy na kuponda wengine.
Hapo kishaingia moyoni mwangu na kujua sikupendi kweli
Wengi hamnazo
Mmmmmh[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Utani na wewe khaaaaaa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna naogopaaaa, uduguu kuna sehemu nilijikwaaa hapa wakati najoin, 5yrs ago.Usinipite mwokozi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmmmh[emoji848]