Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hahahaha,

Nimeanza kwa kucheka kwa maana Smart911 is among the strangest members humu JF.

Mzee wa:
"Ngoja waje kukupa muongozo"
"binadamu wa siku hizi ni wabishi sana"
"Natumaini mtoa mada ulipata muongozo"
"cc:mahondaw"

Jamaa wala hanaga cha kuongea zaidi ya hizi kauli. Daah!
Hii ID yako nyingine wengi tulikuwa hatuifahamu.
 
Ana kiranga kama chiriku [emoji85][emoji85][emoji85] asa akifukuzwa itakuwaje wizooo, na wewe uwe unaangaliaga wa kuolewa nae jamanii, kazi zenyewe za hisanii jamanii [emoji85][emoji85]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizo ndo nishampenda mwenzio hivo, Sa nafanyaje na show ananipa kali “JITU LA MISITU” km TARZAN hilo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizo ndo nishampenda mwenzio hivo, Sa nafanyaje na show ananipa kali “JITU LA MISITU” km TARZAN hilo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Show ya MWANA UKOME jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila watu wafupi nao pambee, wana centre of gravity [emoji85][emoji85][emoji85]

Huyu mfanye awe MME MSAIDIZI wizo akeee, kwanza alivo mfupi vilee, mhh abaki tu wa kupeana show [emoji85][emoji85][emoji85] ana gubu
 
Back
Top Bottom