Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

sasa Smart911 si angeanza kufungua nyuzi za kuomba ushauri atampataje mtoto wake alie zaa na mke wa mtu 🤣

Daaah kwenye ule uhusiano kuna mengi sana ya kujifunza.

-Kuacha Mke na kwenda Mbali kikazi.
-Pretending kwamba hauna uhusiano
-Mapenzi ya Kitamthilia(Moyo wa mtu kichaka)
-Usione Ukadhani ,Fitina titi la paka halifai kwa Mtindi.
 
Duh

Ova

mrangi
 
Mimi ulishaona zangu au bado unaendelea kusubiri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…