nitatoboa kweli
Senior Member
- Jul 15, 2023
- 137
- 454
ACha umbeaHuyu si ndio alisababisha warembo wa humu wakaleteana makankasha au nimefananisha?!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Enzi za couple jfHusahau tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Siku akipewa miuno feni ataweka uzi wa kusifia mpenzi wake na vingereza vyao vya hapa na pale 🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂itakua niwale mabloo madomo zege chakuongea hawana wanabaki kuguna tuu.
mwanaume inabidi som Tim unaongea hata mada yauongo ili uonekane sio unakaa kamajinga.
sasa Smart911 si angeanza kufungua nyuzi za kuomba ushauri atampataje mtoto wake alie zaa na mke wa mtu 🤣
Ndo huyu mkuuu. Sio poaHuyu si ndio alisababisha warembo wa humu wakaleteana makankasha au nimefananisha?!
Ile ilikua kapo yangu bora humu!Hawa vijana wapya hawajui namna swala la Mahondaw lilivyofanya server za jf ziwe bize wakati ule [emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1]
Wanasema nikithibitisha utapigwa na radi!Kwanza kabisa thibitisha Mungu yupo.
Mimi ulishaona zangu au bado unaendelea kusubiri?Sema wewe ndio hujawahi kuona uzi wake
Enzi zile yuko kwenye penzi zito,mahaba mahabani alikuwa kila mwaka anabandika uzi wa kumpongeza mpenzi wake kutimiza miaka fulani
Siku akipewa miuno feni ataweka uzi wa kusifia mpenzi wake na vingereza vyao vya hapa na pale 🤣
Mapenzi haya dadeq! 😂
Kimsingi Smart911 tushaona sana nyuzi zake za kutosha
Tatizo binadamu ni wabishi sana!Natumae mleta mada ulipata muongozo.
-Kaveli-
Huihui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nampenda raraa reree yeye hana choyo na mambo ya like. Ana like [emoji106] kila mada
[emoji2][emoji2][emoji2] harufu ya watu kuchafuana zaidi ya mleta uzi naona inanukiaNahis mmepanga kuchafua watu wewe na konde boy hamna tofauti