Dah[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23], best yao una geuka snitch[emoji16][emoji23][emoji23][emoji855]
Ngoja aje kutupa miongozo... Nasikia kuna aliowala wa waziwazi humu na wa kimya kimya !!
Ila jamaa atakua na matatizo sio buree!! Ni kwamba huko aliko haoni wanawake au???? Mbona anajiaibisha kupitia hadi vibibi humu????[emoji23][emoji23][emoji23] mambo ni mengi humu kaka yangu sijui bado yupo nae alikuwa anamuandikia nyuzi jamaa. Anaitwa Kasinde kama sikosei
Shogaangu mambo ni mazito hebu kameze dawa kwanza
Sema we ni mtata sana! Juzi umemwambia mleta mada mmoja alikuwa akimzungumzia genta, ukamwambia "tukutane tudundane" nilikupa heko sana! π ππΎSema wewe ndio hujawahi kuona uzi wake
Enzi zile yuko kwenye penzi zito,mahaba mahabani alikuwa kila mwaka anabandika uzi wa kumpongeza mpenzi wake kutimiza miaka fulani
Siku akipewa miuno feni ataweka uzi wa kusifia mpenzi wake na vingereza vyao vya hapa na pale π€£
Mapenzi haya dadeq! π
Kimsingi Smart911 tushaona sana nyuzi zake za kutosha
Wazi sisteri!Usinambie!!!! Kivumbi leo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitafika mbali eehUna kitu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitafika mbali eeh
Nakuja mgonjwa wangu kukupa poreeeee
[emoji23][emoji23][emoji23]Ila nyie
ππππ, Dahπππ,Wifi upo? Naona umefika kwa kuchelewa km me [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16], Dah[emoji23][emoji16][emoji16],
Nae ni team kataa ndoa?? Au anatupondea sisi tuu yeye tusiolewe??Mzee wa kibamia anatupondea kweli humu tusipate waume wa kutuoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimechelewa lakin mambo si Haba nilikuwa napika ubwabwa ππWifi upo? Naona umefika kwa kuchelewa km me [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una anzisha ugomvi, nipigweπππ€Umeanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]