Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Sema wewe ndio hujawahi kuona uzi wake

Enzi zile yuko kwenye penzi zito,mahaba mahabani alikuwa kila mwaka anabandika uzi wa kumpongeza mpenzi wake kutimiza miaka fulani
Siku akipewa miuno feni ataweka uzi wa kusifia mpenzi wake na vingereza vyao vya hapa na pale 🤣

Mapenzi haya dadeq! 😂

Kimsingi Smart911 tushaona sana nyuzi zake za kutosha
Sema we ni mtata sana! Juzi umemwambia mleta mada mmoja alikuwa akimzungumzia genta, ukamwambia "tukutane tudundane" nilikupa heko sana! 😅 👍🏾
 
Mambo yanavyo enda ni kama hamrnonize na kajala hakuna tofauti hapa kabisa labda majina tu wachache wanatoa definition ya wengi waliopo katika kundi mmoja
 
Back
Top Bottom