Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekubali kwamba habari ya "hakuna aliyeweza kumpinga" ni uongo?Wote ni binadamu kama wengine na si wao wapo wengi ,ilikuwa bado hajanogewa na kujiamini ,ila baada ya mkuu kuanza kulewa madaraka ,na jingine usizani wote uliowataja ni mamba wengine ni kenge kama sio wote,wewe unatoweka wenzako wanadunda.
Kwahyo katika Taifa la watu takribani 55ml, ni Ben pekee ndie aliyekuwa akimkosoa Jpm na Serikali yake!???Ben Saanane na amepotezwa kwa kumlaumu Mwendazake.
Kuna kitu kinaitwa "convenient amnesia".Tuacheni unafiki, kwenye ukweli tuseme ukweli
Waliomkosoa ni wengi sana, bungeni almost wabunge wote wa upinzani waliokuwa wakiikosoa Serikali ya Magufuli iwe kwa kutumia mitandao, Press, Social media au bungeni
Zitto post zake nyingi kwenye Twitter kajaza mambo mbalimbali ya kukosoa Serikali lakini hajapotezwa wala kufungwa,
Kina Sugu, Msigwa, Lema, Maria Sarungi, Fatma Karume, Halima, na wengine wengi mbona walikosoa na hawakupotezwa!???
Pia, mnaposema utawala wa Magufuli ulipoteza watu,, hebu mtuambie kati ya wananchi 55ml tutajieni hata watu 20 tu nchini waliopotezwa ambao ni wastani wa asilimia 0.00003 ya Population yote nchini
TUTAJIENI WATU 20 TU WALIOPOTEZWA KTK UTAWALA WA JPM
Kweli kabisa mkuuKuna kitu kinaitwa "convenient amnesia".
Yani ni hali fulani ya mtu kujisahaulisha yale ambayo hayapendi, na kulazimisha historia ya uongo ambayo mambo asiyoyaoenda anayaondoa.
Ndicho alichokifanya mleta mada hapa.
Yani hata tukifungua nyuzi za miezi sita iliyopita tu hapahapa JF tutakutana na habari za watu waliompinga Magufuli, waziwazi, kwa kutumia majina yao halisi.
Zitto mpaka kamuita Magufuli mshamba.
Hqlafu unaambiwa hakuna aliyempinga Magufuli.
Ile Phd Ingekuwa ni OG Ben asingepoteaBen Saanane na amepotezwa kwa kumlaumu Mwendazake.
Welp! Check this out. Kuna watu humu humu JF, tena wakongwe kabisa, ambao hudai kuwa sijawahi hata siku moja kumkosoa Magufuli. Cha kuchekesha, watu hao hao ndo walikuwa wananigongea ‘Likes’ sana kwenye mada zangu zinazomkosoa Magufuli 🤣.Kuna kitu kinaitwa "convenient amnesia".
Yani ni hali fulani ya mtu kujisahaulisha yale ambayo hayapendi, na kulazimisha historia ya uongo ambayo mambo asiyoyapenda anayaondoa.
Ndicho alichokifanya mleta mada hapa.
Yani hata tukifungua nyuzi za miezi sita iliyopita tu hapahapa JF tutakutana na habari za watu waliompinga Magufuli, waziwazi, kwa kutumia majina yao halisi.
Zitto mpaka kamuita Magufuli mshamba.
Halafu unaambiwa hakuna aliyempinga Magufuli.
Hayo ni matatizo ya kutumia hisia kuliko mantiki katika mijadala.Welp! Check this out. Kuna watu humu humu JF, tena wakongwe kabisa, ambao hudai kuwa sijawahi hata siku moja kumkosoa Magufuli. Cha kuchekesha, watu hao hao ndo walikuwa wananigongea ‘Likes’ sana kwenye mada zangu zinazomkosoa Magufuli [emoji1787].
Ati sijawahi kumpinga wala kumkosoa Rais Magufuli kwa vile ni Msukuma mwenzangu!!!
That’s why sometimes I find it so hard to have a reasonable discussion with these types of people!
Kumbe hapa chini kwenye hizi mada nilikuwa namsifia eh?? Hahahaa!
When you lose
When you lose control, you lose balance. When you lose balance, you lose reason. When you lose reason, you lose logic. And when you lose logic, you basically lose your moral compass. Enter Paul Makonda or whatever his name is. He has lost all the above. An argument can be made he never had...www.jamiiforums.com
Bomoabomoa Mwanza: Rais Magufuli omba radhi kama....
Kauli uliyoitoa mapema leo huko Mwanza ya kwamba watu wa huko 'wasibomoleshwe' nyumba zao kwa sababu wao ndo walokupa urais si nzuri hata kidogo. Ni kauli ya kibaguzi kabisa na ambayo inapaswa kupingwa na mtu yeyote yule mwenye akili timamu. Wewe unatoa kauli kama hiyo huko Mwanza huku kukiwa...www.jamiiforums.com
Vikao vya CCM Ikulu vinakera
Kwa karibu miaka 10 sasa baadhi yetu tumekuwa tukipinga na kukemea vikali sana vikao vya CCM kufanyikia ikulu ya Dar es salaam. Haya mambo yalishika kasi sana enzi za Jakaya Kikwete [ambaye siku hizi ni kipenzi cha makamanda]. Magufuli naye sasa anauendeleza huo utaratibu wa hovyo. Hii...www.jamiiforums.com
Kama huna ngozi nene usigombee urais!
Kuna mambo yanayoendelea sasa hivi hapa nchini ambayo siyaelewi kabisa. Inapotokea mtu maarufu anapomkosoa huyu rais wetu hadharani au inapotokea hata mtu tu wa kawaida akafanya au kusema kitu fulani ambacho kinaonekana kama kinamkosoa Rais Magufuli basi mtu huyo ataanza kuandamwa andamwa na...www.jamiiforums.com
Rais Magufuli mfukuze kazi huyu mtu..
Huyu mtu, si mwingine bali ni Paul Makonda, ambaye kwa sasa ni ndiye mkuu wa mkoa wa Dar-Es-Salaam. Huyu jamaa mpaka sasa hata sielewi kabisa kinachomfanya aendelee kuwa na kazi aliyonayo. Ni mpaka aharibuje ndiyo aweze kufukuzwa? Kwa huyu jamaa, rais Magufuli alikosea sana alipomteua kuwa...www.jamiiforums.com
Rais Magufuli; ubanaji matumizi; na kujichanganya [contradict]
Alipoingia madarakani aliingia kwa kasi na mbwembwe za kutaka kubana matumizi. Akawakoromea wabunge kuhusu pesa za tafrija zao huko Dodoma, akaamuru kusiwepo na sherehe/ shamrashamra za sikukuu ya muungano, na kadhalika. Baadhi yetu tukayaafiki hayo maamuzi. Tukaona ni mwanzo mzuri maana...www.jamiiforums.com
Ni Rais wa Watanzania wote au ni Rais wa waliompigia kura tu?
Majuzi hapa Rais Magufuli alinukuliwa akiwaasa watu waukatae ubaguzi. Lakini kwa baadhi ya kauli zake, watu wanaweza kusema aanze yeye kwanza kuufanyia kazi huo ushauri wake maana mara kadhaa keshawahi kutoa kauli ambazo zilionekana kuwa ni za kibaguzi. Karibu miaka 3 ilopita, niliwahi kumsema...www.jamiiforums.com
Modus operandi ya Rais Magufuli ni ya ajabu!
Utendaji kazi wa Rais Magufuli ni wa ajabu kweli. Au naweza kusema ni ambao haufuati desturi ama kawaida ya utendaji wa mambo. Ni unorthodox, kwa kimombo 😜. Hivyo ndivyo ninavyoweza kuuelezea kwa kifupi. Fuatana nami nikuelezee kwa nini nasema hivyo; Nimeangalia video fupi ya hotuba...www.jamiiforums.com
He is dangerously stupid
In my book he is 'canceled'. He should be in yours, too. Why is that? You may ask. Well, the answer is very simple: because he is dangerously stupid. It's one thing being stupid. But being dangerously stupid is on a whole ‘nother level. Be wary of someone with power, no matter how little, who...www.jamiiforums.com
Please sir, your ego is not your amigo!
I could write a listicle about all the foolish ideas this guy has come up with since he became the "Governor" of Dar-Es-Salaam. But I'm not going to do that here. Instead, I'll go straight to his latest grand idea. That being the creation of a database that will contain the names of all married...www.jamiiforums.com
Siku za hivi karibuni Rais Magufuli amekuwa akichangisha watu hela kwenye ziara zake
Nijuavyo mimi suala la kuchangia huwa ni la hiari. Siku za hivi karibuni Rais Magufuli amekuwa akichangisha watu hela kwenye ziara zake sehemu mbalimbali hapa nchini. Okay, lengo si baya kwa sababu huwa ni za kusaidia ujenzi wa miradi ya maendeleo. Ila mtindo anaoutumia...hmm! Hapana kwa...www.jamiiforums.com
Umenena vyema.. EMBU CHECK ROMA MKATOLIKI YUPO WAPI MPAKA SASA..??Kuna wimbi la kuwalaumu watu kuwa wakati wa Mheshimiwa Marehemu JPM hawakuweza kuitetea kweli au kuisema haki, hivi ni nani alikuwa na uthubutu wa kumpinga kumshauri au kumkosoa?
Tuseme ukweli tutajieni watu waliokuwa na uthubutu wa wazi kabisa kumzungumza, Mheshimiwa Magufuli zaidi ya kumsifu au kumuweka kama kibwagizo?
Nije kwa msanii au wasanii ni nani aliekuwa na ubavu wa kuimba manyimbo ya kuonyesha tupo kwenye kibano ? Na tumeona makundi kwa makundi yalijibanza chini ya mwenvuli wa CCM na kumsifu Mwenyekiti wao. Na mimi kama mimi siamini kuwa waliipenda saaaana CCM au Raisi wao au kupenda Chama cha Mapinduzi.
Inasemwa ili kuelewana walikuwa hawana budi na lisilokuwa na budi hutendwa. Tumeona waliojaribu kimewakuta nini waliohama CCM wakati wake tumewaona wamefanywa nini.
Kwa kweli wasanii walikuwa kwenye kipindi cha utawala ambao ulikuwa haueleweki kama upepo wa baharini. Hivyo hawakuweza kuhatarisha vijisenti vyao kwa kupima upepo,waliamua kuwa bendera.
Ila yanayowakuta labda ni laana za zao tu. Na wasichukiwe kwa kugeuka bendera.
Yeah, I wouldn’t put that past them!Hayo ni matatizo ya kutumia hisia kuliko mantiki katika mijadala.
Halafu wabongo kwa figisu huwawezi.
Wanaweza kukuambia kwamba wewe ni mfuasi wa Magufuli, wanakujua kuliko unavyojijua mwenyewe.
Ila ulijiwekea bima kumkashifu ili ukibanwa kwamba wewr ni mfuasi wa Magufuli uweze kujitetea kama racist redneck anayejitetea kwa kusema "I am not racist, I have black friends".
Uteuzi gani wa serikali unaweza kukuridhisha mkuu?Yeah, I wouldn’t put that past them!
Maana wapo pia waliodai pindi nilipokubaliana naye kwenye jambo, kuwa eti natafuta uteuzi.
For one, I never knew him personally. Never even met him. Not sure he even knew of my existence.
Sasa ndo aje aniteue mimi Nyani Ngabu kisa kaona nimekubaliana huku JF kwenye jambo flani?
Fikra za watu wengine bana!!!