Hata mimi ni Yanga damu ila nawapongeza sana Simba timu kubwa. Nawaombea waendelee na moyo huo huo wa kujali Yanga anafanya nini. Timu yao wataijenga hata msimu ujao sio mbaya.Mm yanga damu ila simba mnastahili pongezi nyie ni wakubwa AFRIKA
Ilikuwa boraHakuna ambacho hatujafanya, SIMBA SC ni level zingine kabisaaaaaa๐ฅ๐ฅ
Hii ilikuwa klabu Bingwa mtu alikula week na ilikuwa Group stage sio hatua za Vidudu na pia team iliokula hizo week yaan 7 wooote walikuwa wametimia hakupewa ๐ฅ mtu hata mmoja
Hahahhahhahha Aiseee acha kwanza ncheke maana Watu wamepiga boom ๐ฅ mortuary halafu wanajisifu wameua duh kweli Mgumba kapata ๐คฐ basi mate mji mzima ๐๐๐View attachment 3078542
Yule kipa wenu mlimpiga goli 7? Sasa Yanga wakipita naye msisingizie bahasha za GSM.Hakuna ambacho hatujafanya, SIMBA SC ni level zingine kabisaaaaaa๐ฅ๐ฅ
Hii ilikuwa klabu Bingwa mtu alikula week na ilikuwa Group stage sio hatua za Vidudu na pia team iliokula hizo week yaan 7 wooote walikuwa wametimia hakupewa ๐ฅ mtu hata mmoja
Hahahhahhahha Aiseee acha kwanza ncheke maana Watu wamepiga boom ๐ฅ mortuary halafu wanajisifu wameua duh kweli Mgumba kapata ๐คฐ basi mate mji mzima ๐๐๐View attachment 3078542
Mavi ya kale,,,,kwasasa imebaki sanda tu inapepea,,,,,,,,marehemu alikua anajeuri sanaHakuna ambacho hatujafanya, SIMBA SC ni level zingine kabisaaaaaa๐ฅ๐ฅ
Hii ilikuwa klabu Bingwa mtu alikula week na ilikuwa Group stage sio hatua za Vidudu na pia team iliokula hizo week yaan 7 wooote walikuwa wametimia hakupewa ๐ฅ mtu hata mmoja
Hahahhahhahha Aiseee acha kwanza ncheke maana Watu wamepiga boom ๐ฅ mortuary halafu wanajisifu wameua duh kweli Mgumba kapata ๐คฐ basi mate mji mzima ๐๐๐View attachment 3078542
Kwa hiyo historia ifutwe?Na neno "bingwa wa historia" lifutwe?Jibu haraka nina mambo mengi muda huu.Ndio kitu pekee mmebaki nacho siku hizi simba kukumbushia historia
Hata ule msemo wa "bingwa wa historia" ufutwe siyo?Mavi ya kale,,,,kwasasa imebaki sanda tu inapepea,,,,,,,,marehemu alikua anajeuri sana
Wewe nawe ushaingia kwenye mfumo wa wansokurupuka. Kipa aliyepigwa wiki siyo huyu. Huyu alikuwa na kadi so hakudaka siku hiyo.Yule kipa wenu mlimpiga goli 7? Sasa Yanga wakipita naye msisingizie bahasha za GSM.
Wewe nitakupiga kipepsi wallah!๐คฃ๐คฃKujifariji na zilipendwa si mbaya. Ndiyo kitu pekee mnacho. Historia mnayo na mnatamba nayo, paka guvu moja ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Kaongee na Mohamed Mwameja.Onyesheni hiyo medali ya CAF ๐๐๐
Siku mkipata hata medali ya CAF mje mzungumze na wakubwa
Wasingefanya wangekuwa nayo?Ndio kitu pekee mmebaki nacho siku hizi simba kukumbushia historia