Uchaguzi 2020 Hakuna anayeisema CCM kwa wema, Tanzania nzima wanalalamika (95% wanailaumu CCM)

Uchaguzi 2020 Hakuna anayeisema CCM kwa wema, Tanzania nzima wanalalamika (95% wanailaumu CCM)

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Hakuna hakuna hakuna, mitaani kote nimefanya survey kubwa Tanzania nzima kwakweli kila kwenye watu mia basi watano ndio watasema CCM imefanya mazuri na yanahesabika. Ila wanaoiponda kwa ubaya wanayasema na hayana idadi ni malalamiko mengi sana.

Kuanzia wajasiriamali mpaka waliomo serikalini ,utasikia wakihusisha umasikini wao uliowakumba umesababishwa na watendaji wa CCM na serikali yao kuu kwa ujumla.

Wapo waliofukuzwa kazin na waliotapeliwa mazao yao. Ni mambo mengi sana, asilimia 95 wameisema CCM na serikali yake kuwa imewasababishia majuto hawajapata kuyaona.
 
Aisee! Umefanya survey nchi nzima??

Unajua maana ya kufanya survey kijana??

Hakika hii ndio serikali ya CHADEMA awamu ya sita[emoji23][emoji23]
 
Aisee! Umefanya survey nchi nzima??

Unajua maana ya kufanya survey kijana??

Hakika hii ndio serikali ya chadema awamu ya sita[emoji23][emoji23]
Anakusalimia.
EkjOyBlX0AEyvSk.jpg
 
Ruzuku zinakwenda kuisha sasa, tuone kina Amsterdam kama hawajawatolea dirishani na advance yao mmekula..
 
Tunataka Rais mwenye kuweza kutatua shida za wananchi, sio kulialia na kulalamika kama Antipas Lissu.. Chama cha Mbowe milele daima hakitaweza kushinda Urais kwenye nchi hii. Katafuteni madili mengine.
 
juzi nusu nichapwe makofi mtaani nilipotaja jina la mgombea wa ccm hawataki hata kumsikia ...na nilipouliza kama wana kikatio wakanitolea na kusema kura kwa TAP
 
Tunataka Rais mwenye kuweza kutatua shida za wananchi, sio kulialia na kulalamika kama Anti pas Lissu.. Chama cha Mbowe milele daima hakitaweza kushinda Urais kwenye nchi hii. Katafuteni ma deal mengine.
kwisha habari yenu makapi nyie

Rais Lissu kipenzi cha watanzania anaenda kufufua matumaini ya watanzania waliokosa matumaini ndani ya nchi yao.
 
CCM ni POPOBAWA limeshajifia tarehe 28 tunalizika kwa staili hii

 
Aisee mtadanganya sana lakini bado kisulisuli cha Oktoba 28 kipo palepale
 
Back
Top Bottom