Uchaguzi 2020 Hakuna anayeisema CCM kwa wema, Tanzania nzima wanalalamika (95% wanailaumu CCM)

Uchaguzi 2020 Hakuna anayeisema CCM kwa wema, Tanzania nzima wanalalamika (95% wanailaumu CCM)

Ni kweli nimepigika sana Mzee!! Ila kwa kipindi kile nilikuwa napata pesa janja janja sana.

Mfano: Pesa ya kununua mafuta ya gari yangu sikuwahi draw bank/pesa ya mshahara bali kitengo changu kilikuwa kinaruhusu hizi janja janja napata pesa ya kujaza mafuta full tank kila siku na bado nibaki na vijicent vya kukatia mitaa.

Nimeokoka now, sitaki janja janja tena hizi
Wewe hutaki janja janja wakati Magufuli mwenyewe anaishi kijanjajanja. Angalia audit query ya CAG katumia Tsh 1.5 Trillion bila maelezo.

Msitudanganye kuwa eti tunaolalamika tulikuwa tuinaishi kifisadi wakati nyie ndiyo mumeshikilia misahafu ya ufisadi kwenye awamu hii.
 
Watu laki laki tano tena waliochanganyika na wa CCM ndio wanaoisema vibaya

Watu walioko nje na hii mitandao ni mamilioni ya Watanzania, mbona hawasemi kitu?
 
Vijana wote kwa pamoja kura zetu ni kwa JPM.
#JPM mitano tena.
Vijana wepi unaowaagiza? Hawa wanaozurura na bahasha za kaki kusaka ajira tangu 2015? Au Hawa wanaoitwa kwenye interview ya nafasi tatu Kisha wao kuwa elfu mbili? Au Hawa wanaokatwa 15% na bodi ya mikopo? Ni vijana wepi wanaotaka kusota kwa miaka mwingine mitano?
Najua hujui kuwa zilinadiwa nafasi 13000 za ualimu tangu mwezi wa Jana na vijana zaidi ya 80,000 wameomba nafasi hizo Hadi Sasa zimebaki siku 9 tuingie kuchagua na ajira hazijatoka! Unadhani yupo kijana atakayekwenda kumchafua wa ccm ilihali anajua anakwenda kujifunga kifungo Cha kukosa ajira? Tafakari Tena juu ya vijana Hawa wanaotaabika kwa makosa ya ccm! Na ccm imeyasahau maneno ya Lowassa kuwa vijana ni bomu linalokaribia kulipuka na wakati wake ni Sasa!
 
Vijana wepi unaowaagiza? Hawa wanaozurura na bahasha za kaki kusaka ajira tangu 2015? Au Hawa wanaoitwa kwenye interview ya nafasi tatu Kisha wao kuwa elfu mbili? Au Hawa wanaokatwa 15% na bodi ya mikopo? Ni vijana wepi wanaotaka kusota kwa miaka mwingine mitano?
Najua hujui kuwa zilinadiwa nafasi 13000 za ualimu tangu mwezi wa Jana na vijana zaidi ya 80,000 wameomba nafasi hizo Hadi Sasa zimebaki siku 9 tuingie kuchagua na ajira hazijatoka! Unadhani yupo kijana atakayekwenda kumchafua wa ccm ilihali anajua anakwenda kujifunga kifungo Cha kukosa ajira? Tafakari Tena juu ya vijana Hawa wanaotaabika kwa makosa ya ccm! Na ccm imeyasahau maneno ya Lowassa kuwa vijana ni bomu linalokaribia kulipuka na wakati wake ni Sasa!
Subiri baada ya terehe 28 October ndo atajua ni vijana wepi.
 
Nimemsikia mkulu leo anaongea, sauti ishabadilika. Lissu si mtu mzuri aiseee!
 
CCM lazima apapashwe atake asitake come Oct 28th...
 
Kikwete alichanga vizuri kete yake akavuka salama ili jumba limuangukie huyu Mnyantuzu
 
Back
Top Bottom