Hakuna anayependa kukata tamaa, kuna moments kukata tamaa ndio kunaleta faraja

Hakuna anayependa kukata tamaa, kuna moments kukata tamaa ndio kunaleta faraja

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Never give up.

Watu wanafanya kila liwezekanalo kupata majibu ya changomoto zao funfact majibu hayapatikani na hali inazidi kuwa mbaya. No ones care na sio kwa sababu watu wana roho mbaya hapana kila mtu ana msalaba wake.

Sometimes inabidi tuache maisha yaflow yenyewe jinsi yanavyotaka kama tumeshindwa kuyafanya tunavyotaka.
 
Ni kweli ila ukipata wasaha soma mchezo maarufu wa kuigiza unaoitwa hamlet act four. Scene 5.
 
halafu trust me,, ukivuka hiyo point MUNGU ANAKUFUNGULIA UNREASONABLY.

KEEP MOVING BRO YOU ARE ALMOST THERE
 
Back
Top Bottom