Hakuna Askari wa Usalama barabarani (Trafiki) maskini

Hakuna Askari wa Usalama barabarani (Trafiki) maskini

Ni kweli huwa wanapata hela Ila kutokana na kuwa hizo hela huwa hazitokani na JASHO lao basi wengi huwa wanakuaga na ile mentality ya kutumia Sana wakiamini na kesho watapata tena.

Moja ya watu huwa wanamaliza career zao wakiwa broke ni watu wa majeshi wachache ndo hufanikiwa kuwa na mafanikio endelevu .
 
Back
Top Bottom