Hakuna bahati mbaya kwa mwanamuke akikusaliti hakuna hakuna

THE BEEKEEPER

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2024
Posts
1,462
Reaction score
7,157
Habari
Me kinachoniuma ni kwamba ukimkamata mwizi mala ya kwanza basi ujue hiyo ilkuwa mala yake ya arobaini kukusaliti na ndo ya mwisho, imagine mtu anakusaliti mala 39 halafu unamkamata round ya 40
 
Kifua kimebana ni hatar dj anasema alikufa Kwa ngono
 
Yaani mtu agawe pqpuchi yake kwa starehe zake alafu wewe ulalamike kwamba amekusaliti mkuu,me nafikiri mtu anayetaka kukuwekea sumu kwenye chakula ili ufe huyo ndio wa kulaumiwa.
 
binafsi kenge kama hiyo inayosaliti naipiga kipigo cha mbwa mwizi ilale ICU ikipona inarudi kwa baba yake

hua siendekez ujinga
 
Kama hupendi mwanamke akikusaliti
Naww acha kumsalitii.
Ww n mwanaume malaya suguu kutwa unatembea na vitoto vya 2000 na umeoaa,mara una mishangazii...
Afu mkeo akusaliti mara1....uanze shobo?
jieshimu kwanza ndio uheshimiwe
Ahsanten!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…