Habari
Me kinachoniuma ni kwamba ukimkamata mwizi mala ya kwanza basi ujue hiyo ilkuwa mala yake ya arobaini kukusaliti na ndo ya mwisho, imagine mtu anakusaliti mala 39 halafu unamkamata round ya 40
Yaani mtu agawe pqpuchi yake kwa starehe zake alafu wewe ulalamike kwamba amekusaliti mkuu,me nafikiri mtu anayetaka kukuwekea sumu kwenye chakula ili ufe huyo ndio wa kulaumiwa.
Kama hupendi mwanamke akikusaliti
Naww acha kumsalitii.
Ww n mwanaume malaya suguu kutwa unatembea na vitoto vya 2000 na umeoaa,mara una mishangazii...
Afu mkeo akusaliti mara1....uanze shobo?
jieshimu kwanza ndio uheshimiwe
Ahsanten!