Hakuna biashara inayolipa sana zaidi Tanzania kama "siasa"

Uko serious kweli? Unajua pesa wanayomiliki wachungaji ie; Mwamposa, ngwajima, kakobe and the like? Na zaidi ni wepesi wa namna wanavyoipa bila kuwa na headache ya kodi
Hawa wafikii wanasiasa kk, kikwete is trillioner
 
Nenda uwe mwanasiasa ukajibebee madhambi tele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…