Kanumba kabla hajafa alikuwa anawafunika wote.Nadhani angekuwepo leo angekuwa namba one star in Tanzania.NAJIULIZA KILA SIKU, HIVI MASTAA NI HAWA WAWILI TU, DIAMOND NA KIBA? KILA MTU AKIFUNGUA THREAD NI WAO HADI INACHOSHA. BADILIKENI
Si kweli, kwa kasi ya Diamond alikuwa ashaanza kumpoteza, kumbuka alianza kutoka na Wema kipindi Kanumba yuko hai, na vyombo vya habari alikuwa ameshaviteka, pia alikuwa ameshaanza kufanya maajabu kwenye mziki kama kuandaa show yake kubwa aliyoipa jina la 'Diamonds Are Forever' na kuwateka wakali wote wa mjini. So hata Kanumba angekuwa hai angepotezwa tu, kwanza Kanumba ule mwaka amekufa nyota yake kwenye muvi ilikuwa ishaanza kuchukuliwa na JB. Ingawa JB ameshindwa kufika mbali kama wengi tulivyotarajiaKanumba kabla hajafa alikuwa anawafunika wote.Nadhani angekuwepo leo angekuwa namba one star in Tanzania.
Tena kwenye msiba wake watu wanasahau majonzi wanamshangaa diamondSi kweli, kwa kasi ya Diamond alikuwa ashaanza kumpoteza, kumbuka alianza kutoka na Wema kipindi Kanumba yuko hai, na vyombo vya habari alikuwa ameshaviteka, pia alikuwa ameshaanza kufanya maajabu kwenye mziki kama kuandaa show yake kubwa aliyoipa jina la 'Diamonds Are Forever' na kuwateka wakali wote wa mjini. So hata Kanumba angekuwa hai angepotezwa tu, kwanza Kanumba ule mwaka amekufa nyota yake kwenye muvi ilikuwa ishaanza kuchukuliwa na JB. Ingawa JB ameshindwa kufika mbali kama wengi tulivyotarajia
Nani amekwambia Sijaelewa mada? Au una hemkwa tu?Sio lazima kila thread uchangie, kama hujaelewa mada kaa kimya
ni kama ronaldo na messiNIKAMA CCM na CHADEMA Vyama Vingine havisikiki.
Huyo Wema Kanumba ndio alianza kumbutua kabla hata ya Diamond,kumbuka Kanumba alikufa akiwa anajiandaa kwenda kusign deal la mkwanja mrefu iliyokadiriwa kufika Bilioni ili kucheza movie Hollywood.Umaarufu wa Kanumba kwa wakati huo ulikuwa mkubwa sana,uliza majumbani kama kuna mtu alikuwa hamjui kanumba.Unaambiwa na Kanumba alikuwa amefikia hatua ya "take off",kama umefika level fjani hivi utajua ni stage gani kwenye human race.Si kweli, kwa kasi ya Diamond alikuwa ashaanza kumpoteza, kumbuka alianza kutoka na Wema kipindi Kanumba yuko hai, na vyombo vya habari alikuwa ameshaviteka, pia alikuwa ameshaanza kufanya maajabu kwenye mziki kama kuandaa show yake kubwa aliyoipa jina la 'Diamonds Are Forever' na kuwateka wakali wote wa mjini. So hata Kanumba angekuwa hai angepotezwa tu, kwanza Kanumba ule mwaka amekufa nyota yake kwenye muvi ilikuwa ishaanza kuchukuliwa na JB. Ingawa JB ameshindwa kufika mbali kama wengi tulivyotarajia