eti hollwood haha, sikatai Kanumba alikuwa mkubwa sana ila kwa kasi ya diamond angekuwa hai alikuwa anafunikwa hata yeye, sema mtu akifa anashobokewa sanaHuyo Wema Kanumba ndio alianza kumbutua kabla hata ya Diamond,kumbuka Kanumba alikufa akiwa anajiandaa kwenda kusign deal la mkwanja mrefu iliyokadiriwa kufika Bilioni ili kucheza movie Hollywood.Umaarufu wa Kanumba kwa wakati huo ulikuwa mkubwa sana,uliza majumbani kama kuna mtu alikuwa hamjui kanumba.Unaambiwa na Kanumba alikuwa amefikia hatua ya "take off",kama umefika level fjani hivi utajua ni stage gani kwenye human race.
nakumbuka hilo tukio, diamond alizua kizaazaa msiban, magazeti ya Shigongo shahidiTena kwenye msiba wake watu wanasahau majonzi wanamshangaa diamond
Usimsingizie marehemu. R.I.P Kanumba. Kwa sasa moto wa diamond platinum ni mkubwa sana. Na ndio maana kila mtu anajitahidi kuanzisha naye beef ili aweze naye kutoka na kusikika.Kanumba kabla hajafa alikuwa anawafunika wote.Nadhani angekuwepo leo angekuwa namba one star in Tanzania.
NAJIULIZA KILA SIKU, HIVI MASTAA NI HAWA WAWILI TU, DIAMOND NA KIBA? KILA MTU AKIFUNGUA THREAD NI WAO HADI INACHOSHA. BADILIKENI
Hata Kanumba alivyokuwa hai watu walimkejeli na kumuona si lolote, Diamond na hakika atamwagiwa sifa nyingi zaidi ya Kanumba akifa Kanumba na ray , Kanumba na lugha ya Kiingereza. Kanumba utanyonya wangapi kwenye movie??, Kanumba ze greit, Kanumba ndani ya Big Brother House 2009Huyo Wema Kanumba ndio alianza kumbutua kabla hata ya Diamond,kumbuka Kanumba alikufa akiwa anajiandaa kwenda kusign deal la mkwanja mrefu iliyokadiriwa kufika Bilioni ili kucheza movie Hollywood.Umaarufu wa Kanumba kwa wakati huo ulikuwa mkubwa sana,uliza majumbani kama kuna mtu alikuwa hamjui kanumba.Unaambiwa na Kanumba alikuwa amefikia hatua ya "take off",kama umefika level fjani hivi utajua ni stage gani kwenye human race.
Sipingi Diamond kupiga hatua,lakini kama kanumba angeishi miaka mitano zaidi,hakika angezua gumzo na tafrani kubwa sana.Hata huyo diamond kuna nyuzi nyingi tu za kumponda,pitia humu JfHata Kanumba alivyokuwa hai watu walimkejeli na kumuona si lolote, Diamond na hakika atamwagiwa sifa nyingi zaidi ya Kanumba akifa Kanumba na ray , Kanumba na lugha ya Kiingereza. Kanumba utanyonya wangapi kwenye movie??, Kanumba ze greit, Kanumba ndani ya Big Brother House 2009
soma uelewe,wewe unazungumza sasa mimi nazungumza wakati huo anakufa alikuwa celebrity mkubwa zaidi TZ.Angeishi mpaka sasa hakika angetisha sanaUsimsingizie marehemu. R.I.P Kanumba. Kwa sasa moto wa diamond platinum ni mkubwa sana. Na ndio maana kila mtu anajitahidi kuanzisha naye beef ili aweze naye kutoka na kusikika.
Ndiyo,Hollywood.Kama hujui uliza,sio kuleta mipasho.Hata yeye angekuwa hai angekuwa na kasi yake.Ni nani aliyeleta mabadiliko katika industry ya filamu Tz?Jibu ni Kanumba,wakati Diamond hajapata fursa ya kushirikiana na wanamuziki wakubwa Africa kanumba alikuwa ameshashirikiana na waigizaji bora Africa kama akina Ramsey na tayari milango ilikuwa imefunguka na alikuwa anaelekea marekani kufanya movie Hollywood,ukweli ndio huo.eti hollwood haha, sikatai Kanumba alikuwa mkubwa sana ila kwa kasi ya diamond angekuwa hai alikuwa anafunikwa hata yeye, sema mtu akifa anashobokewa sana
Tuwe wekundu?NAJIULIZA KILA SIKU, HIVI MASTAA NI HAWA WAWILI TU, DIAMOND NA KIBA? KILA MTU AKIFUNGUA THREAD NI WAO HADI INACHOSHA. BADILIKENI
Wewe ungejuaje kama Angetisha? Au ni msoma nyota wewe?soma uelewe,wewe unazungumza sasa mimi nazungumza wakati huo anakufa alikuwa celebrity mkubwa zaidi TZ.Angeishi mpaka sasa hakika angetisha sana
wewe ungejuaje kama asingetisha?au ni msoma nyota wewe?Wewe ungejuaje kama Angetisha? Au ni msoma nyota wewe?