Habari,
Bila shaka hakuna mtu asiyefahamu kuhusu cryptocurrencies or at least Bitcoin. for the last two years kumekuwa na excitement kubwa kuhusu kuwekeza katika sekta hii, na mwaka huu ulianza vizuri kwa baadhi ya coins kama Ripple, Bitcoin, Stellar, Ethereum na nyinginezo. Ripple in particular ilipanda kwa kasi sana hadi kufika almost $3 from $1 (katika wiki mbili za mwanzo), hii ilionekana ni fursa kubwa kwa watu wengi ukizingatia ya kwamba Ripple tofauti na coins nyingine nyingi hiko centralized na inashirikiana na bank, binafsi nilinunua Ripple kiasi na kutrade kwenye currency exchanges za Japan,.
Tangia wiki hii ianze kumekuwa na anguko kubwa la Ripple na karibia coins nyingine nyingi, katika kufatilia inaonekana ya kwamba China inafanya kwa kile walichokiita "an ordely exit', in principle China is shutting down all the mining Rigs. Now i am not a financial expert nor do i claim to be one but i can bet this move has potential repercussion in the market. is this the bubble we have all been waiting for?, you tell me. Watch your hard earned cash and trade responsibly.
"Steer clear of Crypto....bih crash incoming,,,possibly 90% of value to be wiped out in the next month, ouch damn Chinese government" - mail quote from a trusted trader i know.
Nimeshindwa kufanya transaction kwa siku ya leo na
Monero, probably because of a huge number of requests to exit the trades.
View attachment 677002 View attachment 677003
View attachment 677005 View attachment 677006
Chinese Bitcoin miners forced to shutdown
China wants an "orderly exit' from Bitcoin mining
Cryptocurrencies have crashed 20% in two days