Hakuna cha kufungwa kiume kichapo ni kichapo tu

Nilitazama mpira na watu waliokuwa na ndoto ya kuona simba ikizalilishwa sababu walitaka kuprove kuwa Simba ni timu ya kawaida sana. Mpaka dakika ya 95 hawakuwa na raha kabisa. Walisali kuliko waarabu, Baada ya Kapombe kukosa penati walifarijika na misemo yao ya kujifariji kwa walichoshuhudia uwanjani ndo hii hii ninayoiona humu "KUTOLEWA NI KUTOLEWA TU"

Kila ninapokutana na hii misemo inanikumbusha kuwa hawakuwa na raha kwa 95min na ndio imetolewa Simba ila Furaha walikosa wengine.
 
Usisahau na sisi tunaweza kula wa chuya ujue kesho
 
Ukibakwa umebakwa tu, huwezi jisifu eti”hata hiivyo kahangaika sana kunibaka” [emoji2][emoji2]
 
Shida ni kwamba mlidhani kuna nyingi,sasa hamuamini matokeo,kubalini tuu vigogo huwa hawafungwi nyingi.
 
TUNAJIANDAA NA SUPER CUP
Mjiandae kuwashangilia kaka zenu Yanga siku ya kesho, ili wafuzu hatua inayofuata ya nusu fainali. Maana hao ndiyo wawakilishi pekee wanao wakilisha kimataifa kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…