Hakuna cha miradi wala mikataba, Tume Huru ya Uchaguzi ndio muhimu

Hakuna cha miradi wala mikataba, Tume Huru ya Uchaguzi ndio muhimu

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Tunawasikia CCM wakisifia mikataba ,ambayo Raisi wao anatiliana huko anapokwenda kutembea ,sio mbaya ,mkae mkijua Uchaguzi uliopita haukuwa uchaguzi na sasa wananchi wanahemea mlo mmoja kwa siku.

hayo matembezi na mikataba haina faida kama ndani ya nchi hakuna utedaji wa haki,kuchagua kiongozi kwa kura halali ndio barafu ya Nchi zaidi ya hapo ni kufuka moshi tu tena kwa wingi

Suala gumu ambalo viongozi wenu nyie CCM linalowapa shida ni pale anapoulizwa serikali yako ilichukua madaraka kwa nguvu bila ya kufuata matokeo halali ya kura,viongozi wenu hupata tabu sana kujipapatua,Je kama mngelishinda Uchaguzi kwa kura halali kabisa ingekuwaje ?
 
Tunawasikia CCM wakisifia mikataba ,ambayo Raisi wao anatiliana huko anapokwenda kutembea ,sio mbaya ,mkae mkijua Uchaguzi uliopita haukuwa uchaguzi na sasa wananchi wanahemea mlo mmoja kwa siku.

hayo matembezi na mikataba haina faida kama ndani ya nchi hakuna utedaji wa haki,kuchagua kiongozi kwa kura halali ndio barafu ya Nchi zaidi ya hapo ni kufuka moshi tu tena kwa wingi

Suala gumu ambalo viongozi wenu nyie CCM linalowapa shida ni pale anapoulizwa serikali yako ilichukua madaraka kwa nguvu bila ya kufuata matokeo halali ya kura,viongozi wenu hupata tabu sana kujipapatua,Je kama mngelishinda Uchaguzi kwa kura halali kabisa ingekuwaje ?
Sawa, chukua Tume huru
 
utasubiri tume huru hadi 2040, kama utakuwa amezeeka basi siyo bahati yako.
kwa sasa kazi iendelee kwa spidi ile ile.
 
Tunawasikia CCM wakisifia mikataba ,ambayo Raisi wao anatiliana huko anapokwenda kutembea ,sio mbaya ,mkae mkijua Uchaguzi uliopita haukuwa uchaguzi na sasa wananchi wanahemea mlo mmoja kwa siku.

hayo matembezi na mikataba haina faida kama ndani ya nchi hakuna utedaji wa haki,kuchagua kiongozi kwa kura halali ndio barafu ya Nchi zaidi ya hapo ni kufuka moshi tu tena kwa wingi

Suala gumu ambalo viongozi wenu nyie CCM linalowapa shida ni pale anapoulizwa serikali yako ilichukua madaraka kwa nguvu bila ya kufuata matokeo halali ya kura,viongozi wenu hupata tabu sana kujipapatua,Je kama mngelishinda Uchaguzi kwa kura halali kabisa ingekuwaje ?
Hizo Tume Huru na Katiba Mpya ni bora zikaanzia kwanza kwenye vyama vyenu vya siasa.

Huwezi kupata Taifa Stars nzuri kama huna wachezaji wazuri kwenye timu za Premier League.

CHADEMA kuna mtu anaitwa Freeman Mbowe, ndiye Mwenyekiti yangu mwaka 2003 na kauli yake ndiyo Katiba ya Chama.

Kwanza wajisafishe wao ndiyo waanze kudai Katiba Mpya na Tume Huru
 
Tunawasikia CCM wakisifia mikataba ,ambayo Raisi wao anatiliana huko anapokwenda kutembea ,sio mbaya ,mkae mkijua Uchaguzi uliopita haukuwa uchaguzi na sasa wananchi wanahemea mlo mmoja kwa siku.

hayo matembezi na mikataba haina faida kama ndani ya nchi hakuna utedaji wa haki,kuchagua kiongozi kwa kura halali ndio barafu ya Nchi zaidi ya hapo ni kufuka moshi tu tena kwa wingi

Suala gumu ambalo viongozi wenu nyie CCM linalowapa shida ni pale anapoulizwa serikali yako ilichukua madaraka kwa nguvu bila ya kufuata matokeo halali ya kura,viongozi wenu hupata tabu sana kujipapatua,Je kama mngelishinda Uchaguzi kwa kura halali kabisa ingekuwaje ?
Hivi lengo la mada hii ni kuudanganya umma kupitia JF au mleta mada kujidanganya mwenyewe kupitia JF. Hivi hata kama akili ya kutafakari hauna, lkn hata uhalisia kupitia picha hauuoni? Muda mungine muwe mnaona aibu kuandika ujinga hapa jukwaani, ni aibu. Bora hata Lowasa angekuwa na uhalali wa kulalamika kuibiwa maana alijitahidi, kuliko huyu kijakazi wa mabeberu.

images (8).jpeg


images (7).jpeg


images (9).jpeg


images (10).jpeg
 
Vipi wasiokuwa na vyama vya siasa? Wao wanaruhusiwa kudai katiba mpya na tume huru ?
Hizo Tume Huru na Katiba Mpya ni bora zikaanzia kwanza kwenye vyama vyenu vya siasa.

Huwezi kupata Taifa Stars nzuri kama huna wachezaji wazuri kwenye timu za Premier League.

CHADEMA kuna mtu anaitwa Freeman Mbowe, ndiye Mwenyekiti yangu mwaka 2003 na kauli yake ndiyo Katiba ya Chama.

Kwanza wajisafishe wao ndiyo waanze kudai Katiba Mpya na Tume Huru
 
Tunawasikia CCM wakisifia mikataba ,ambayo Raisi wao anatiliana huko anapokwenda kutembea ,sio mbaya ,mkae mkijua Uchaguzi uliopita haukuwa uchaguzi na sasa wananchi wanahemea mlo mmoja kwa siku.

hayo matembezi na mikataba haina faida kama ndani ya nchi hakuna utedaji wa haki,kuchagua kiongozi kwa kura halali ndio barafu ya Nchi zaidi ya hapo ni kufuka moshi tu tena kwa wingi

Suala gumu ambalo viongozi wenu nyie CCM linalowapa shida ni pale anapoulizwa serikali yako ilichukua madaraka kwa nguvu bila ya kufuata matokeo halali ya kura,viongozi wenu hupata tabu sana kujipapatua,Je kama mngelishinda Uchaguzi kwa kura halali kabisa ingekuwaje ?
hebu fikiria sasa hivi lissu ndiyo angekuwa rais? nchi ingekuwa inauzwa vipandevipande chama cha wachaga hicho wapo kimaslahi kabisa bora mama anaupiga mwingi safi sana mama samia
 
Hizo Tume Huru na Katiba Mpya ni bora zikaanzia kwanza kwenye vyama vyenu vya siasa.

Huwezi kupata Taifa Stars nzuri kama huna wachezaji wazuri kwenye timu za Premier League.

CHADEMA kuna mtu anaitwa Freeman Mbowe, ndiye Mwenyekiti yangu mwaka 2003 na kauli yake ndiyo Katiba ya Chama.

Kwanza wajisafishe wao ndiyo waanze kudai Katiba Mpya na Tume Huru
Tume huru haavihusu vyama vya siasa bali inamhusu mwananchi kua na uhuru na uhakika wakuchagua kiongozi atakayemwakilisha na kumuongoza kupitia sanduku la kura.Sasa ni ulimbukeni wa fikra kuhusianisha mambo ya tume huru ya uchaguzi ya taifa na mambo ya uongiz wa vyama.Vinginevyo sema unawashwa na mbowe kua mwenyekiti wa chama cha siasa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Haya mzalendo wa kijani, ungekuwa ma mngekuwa mnasamuni hayo msinge wambambikia, kuwa dhulumu na kuwaonea wengine🤔
Unajuaje kama kabambikiwa kesi.. je wewe ni mke wa Mbowe ambae huwa anatembea nae na kulala nae? Au unajifanya huujui huu msemo wa "Moyo wa mtu msitu"? Msemo huu unamaanisha kuwa kuna watu wengi tu ambao kila siku hawakosi kanisani, au misikitini kufunika maovu yao machoni mwa watu.. lakini ikifika usiku ni wawangaji wakubwa tu, tena hawana huruma katika kuwaroga watu. Kuna watu ni watoaji wakubwa wa misaada, dhaka, sadaka nk ili kuwapoteza maboya watu, lakini kumbe hizo hela anazotoa sadaka na kusaidia watu kazipata kwa njia ya kuuza madawa ya kulevya, kuuwa watu, kudhulumu, kuibia watu nk. So katika maisha usikimbilie kuusemea moyo wa mwenzako au kumtetea mwenzako unless kama wewe utakuwa kimvuli chake ambacho huwa kinamfuata kila anapokwenda.
 
Unajuaje kama kabambikiwa kesi.. je wewe ni mke wa Mbowe ambae huwa anatembea nae na kulala nae? Au unajifanya huujui huu msemo wa "Moyo wa mtu msitu"? Msemo huu unamaanisha kuwa kuna watu wengi tu ambao kila siku hawakosi kanisani, au misikitini kufunika maovu yao machoni mwa watu.. lakini ikifika usiku ni wawangaji wakubwa tu, tena hawana huruma katika kuwaroga watu. Kuna watu ni watoaji wakubwa wa misaada, dhaka, sadaka nk ili kuwapoteza maboya watu, lakini kumbe hizo hela anazotoa sadaka na kusaidia watu kazipata kwa njia ya kuuza madawa ya kulevya, kuuwa watu, kudhulumu, kuibia watu nk. So katika maisha usikimbilie kuusemea moyo wa mwenzako au kumtetea mwenzako unless kama wewe utakuwa kimvuli chake ambacho huwa kinamfuata kila anapokwenda.
Wewe simmoja wa kundi badkuck &co namlituaminisha kuwa ushahidi mlikuwa nao, tulichoshuhudia ni matumbo ya kuvuruga kizimbani😃
 
Katika vitu utakavyoongea mbele ya mwanaccm akuchukie ni tume huru ya uchaguzi na katiba mpya..haya maneno yanawanyima usingizi kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
 
hebu fikiria sasa hivi lissu ndiyo angekuwa rais? nchi ingekuwa inauzwa vipandevipande chama cha wachaga hicho wapo kimaslahi kabisa bora mama anaupiga mwingi safi sana mama samia

Nani ana muda wa kununua nchi masikini ww?
 
Vipi wasiokuwa na vyama vya siasa? Wao wanaruhusiwa kudai katiba mpya na tume huru ?
Wasio na vyama wanaruhusiwa kudai Katiba Mpya na Tume Huru ya uchaguzi kama hawaridhiki na hii iliyopo
 
Matus yako yana akisi uwezo wa ubongo wako. Mithali 26:4 imesema "Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake, usije kuwa sawa naye"
Tume huru haavihusu vyama vya siasa bali inamhusu mwananchi kua na uhuru na uhakika wakuchagua kiongozi atakayemwakilisha na kumuongoza kupitia sanduku la kura.Sasa ni ulimbukeni wa fikra kuhusianisha mambo ya tume huru ya uchaguzi ya taifa na mambo ya uongiz wa vyama.Vinginevyo sema unawashwa na mbowe kua mwenyekiti wa chama cha siasa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom