Kama kuwashwa ni matusi basi wewe ndiye mwenye matatizo.na ndo maana umemhusisha mbowe kwenye mada ambayo haimhusu mbowe.Matus yako yana akisi uwezo wa ubongo wako. Mithali 26:4 imesema "Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake, usije kuwa sawa naye"
Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ulikuwa Huru, Wazi na wa kidemokrasia kwa sababu hata kesi za kupinga matokeo ya Ubunge na Udiwani zilikuwa chache ukilinganisha na Chaguzi za miaka iliyopita. Chaguzi za Ubunge zilizofunguliwa ni nne na za Udiwani ni 11 na zote zimeshasikizwa na kumalizika kwa kuwaruhusu walioshinda waendelee na majukumu yao.Hapo CCM watakuua asee
Uchaguzi ulikuwa hururu wa wazi na wa haki kwa sabau hata kesi zilizofunguliwa za kupinga matokeo ya Ubunge na Udiwani zilikuwa chache ukilinganisha na chaguzi za miaka iliyopitaTunawasikia CCM wakisifia mikataba ,ambayo Raisi wao anatiliana huko anapokwenda kutembea ,sio mbaya ,mkae mkijua Uchaguzi uliopita haukuwa uchaguzi na sasa wananchi wanahemea mlo mmoja kwa siku.
hayo matembezi na mikataba haina faida kama ndani ya nchi hakuna utedaji wa haki,kuchagua kiongozi kwa kura halali ndio barafu ya Nchi zaidi ya hapo ni kufuka moshi tu tena kwa wingi
Suala gumu ambalo viongozi wenu nyie CCM linalowapa shida ni pale anapoulizwa serikali yako ilichukua madaraka kwa nguvu bila ya kufuata matokeo halali ya kura,viongozi wenu hupata tabu sana kujipapatua,Je kama mngelishinda Uchaguzi kwa kura halali kabisa ingekuwaje ?
Kunywa maji ulaleUchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ulikuwa Huru, Wazi na wa kidemokrasia kwa sababu hata kesi za kupinga matokeo ya Ubunge na Udiwani zilikuwa chache ukilinganisha na Chaguzi za miaka iliyopita. Chaguzi za Ubunge zilizofunguliwa ni nne na za Udiwani ni 11 na zote zimeshasikizwa na kumalizika kwa kuwaruhusu walioshinda waendelee na majukumu yao.
Ukiomba haki utasubiri sana, haki huwa inadaiwa.Tunawasikia CCM wakisifia mikataba ,ambayo Raisi wao anatiliana huko anapokwenda kutembea ,sio mbaya ,mkae mkijua Uchaguzi uliopita haukuwa uchaguzi na sasa wananchi wanahemea mlo mmoja kwa siku.
hayo matembezi na mikataba haina faida kama ndani ya nchi hakuna utedaji wa haki,kuchagua kiongozi kwa kura halali ndio barafu ya Nchi zaidi ya hapo ni kufuka moshi tu tena kwa wingi
Suala gumu ambalo viongozi wenu nyie CCM linalowapa shida ni pale anapoulizwa serikali yako ilichukua madaraka kwa nguvu bila ya kufuata matokeo halali ya kura,viongozi wenu hupata tabu sana kujipapatua,Je kama mngelishinda Uchaguzi kwa kura halali kabisa ingekuwaje ?