Hakuna cha sijui 'Bakabaka Day' wala nini, ukweli ni kwamba tumeitwa Zanzibar na Waganga wetu ili tukaroge kwa Kufuru na Mwarabu afe 2/12/2023

Hakuna cha sijui 'Bakabaka Day' wala nini, ukweli ni kwamba tumeitwa Zanzibar na Waganga wetu ili tukaroge kwa Kufuru na Mwarabu afe 2/12/2023

Ndio vilabu vya Dar es salaam, Yanga wamewekeza kwenye ulozi kuliko mazoezi.
Wewe una meci kubwa siku 5 zijazo badala ya kudeal na afya na saikolojia ya wachezaji wewe unaleta waganga toka kila kona ya nchi ili ushinde.

Yanga imekuwa kama wanasiasa, ikifika karibu na chaguzi makafara kila kona ,
Unateseka ukiwa wapi. shughulikieni na madunduka wanzeni huko kikaoni wachezaji wenu waliulizwa mchezaji asiyetaka kubaki atoke wakatoka wote mkaanza kuwabembeleza hamtutoi katika mchezo sisi ng'oo kuku wahed nyie.
 
Tumebakiwa na wapumbavu wachache sana ambao bado mpaka sasa wanaamini kwenye mpira ni ushirikina na watu kama nyie ndio mnaoturidisha nyuma. Yanga huko alishatoka kitambo, wewe na timu lako endeleeni kuhangaika huko kwenye ushirikina wenu
Sasa huyo ukimuita mpumbavu kwa kuamini hivyo ,mnagombana
 
Hizi propaganda zako wapelekee makolo wenzako. Sasa kama umetumia uchawi haujakufaidisha bado uendelee kukomaa nao wa nini?🤣🤣

Nakusindikiza wewe na makolo five wenzako na kibao cha Young Lunya~StuEndkekezeni uchawi, hujui wenzio mpira hauna uchawi, kalogeni sana ila kichapo kipo pale pale.
 
Unateseka ukiwa wapi. shughulikieni na madunduka wanzeni huko kikaoni wachezaji wenu waliulizwa mchezaji asiyetaka kubaki atoke wakatoka wote mkaanza kuwabembeleza hamtutoi katika mchezo sisi ng'oo kuku wahed nyie.
Duh.
Wazee mnapata mpaka za ndani kabisa huko.
Hii kama ni kweli, MADUNDUKA msimu huu kwishney.
 
Back
Top Bottom