Unateseka ukiwa wapi. shughulikieni na madunduka wanzeni huko kikaoni wachezaji wenu waliulizwa mchezaji asiyetaka kubaki atoke wakatoka wote mkaanza kuwabembeleza hamtutoi katika mchezo sisi ng'oo kuku wahed nyie.Ndio vilabu vya Dar es salaam, Yanga wamewekeza kwenye ulozi kuliko mazoezi.
Wewe una meci kubwa siku 5 zijazo badala ya kudeal na afya na saikolojia ya wachezaji wewe unaleta waganga toka kila kona ya nchi ili ushinde.
Yanga imekuwa kama wanasiasa, ikifika karibu na chaguzi makafara kila kona ,
Sasa huyo ukimuita mpumbavu kwa kuamini hivyo ,mnagombanaTumebakiwa na wapumbavu wachache sana ambao bado mpaka sasa wanaamini kwenye mpira ni ushirikina na watu kama nyie ndio mnaoturidisha nyuma. Yanga huko alishatoka kitambo, wewe na timu lako endeleeni kuhangaika huko kwenye ushirikina wenu
[emoji41]Kumbe kipigo cha 5 alichopata 5imba ndiyo kinaitwa kipigo cha tigo pe5a [emoji3] Aisee
Hizi propaganda zako wapelekee makolo wenzako. Sasa kama umetumia uchawi haujakufaidisha bado uendelee kukomaa nao wa nini?🤣🤣
Nakusindikiza wewe na makolo five wenzako na kibao cha Young Lunya~StuEndkekezeni uchawi, hujui wenzio mpira hauna uchawi, kalogeni sana ila kichapo kipo pale pale.
Mkuu umewasiliana nao kwa hiki Kiingereza cha " concerning of what is going on"? au Kiarabu kinapanda?I have already communicated with Al Ahly officials concerning of what is going on in Zanzibar, they have promised me to call me tomorrow morning
That's good to hear, don't hesitate to give them your takleI have already communicated with Al Ahly officials concerning of what is going on in Zanzibar, they have promised me to call me tomorrow morning
na njaa?Hii gemu Yanga wanashinda...
Duh.Unateseka ukiwa wapi. shughulikieni na madunduka wanzeni huko kikaoni wachezaji wenu waliulizwa mchezaji asiyetaka kubaki atoke wakatoka wote mkaanza kuwabembeleza hamtutoi katika mchezo sisi ng'oo kuku wahed nyie.
Uzalendo kwanzaHuu utabiri wangu tu ila ni shabiki wa azam na man utd, yanga 0-2 al ahly