Hakuna chama cha kupambana na ccm wanachofanya n kupambania ruzuku itawatafuna sana

Hakuna chama cha kupambana na ccm wanachofanya n kupambania ruzuku itawatafuna sana

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Nimeona SEHEMU ati Fujo za chadema zitansaidia MH SAMIA kupitia kiurahisi

Kwa kifupi hakuna chama cha kupambana na ccm wapendwa

Kwa sasa wanachofanya n kupambania ruzuku tu

YAAN ukisikia HATA wale wanajiita wenyeviti sijui wanataka mtu flan awexe kukomaa kupambana na ccm

walee n wahunii

YAAN HATA mbowe anajua haeana nguvu ya kuitoa ccm madarakan

Wanachopambana n kuteseka wanapataje ruzuku

Huamini subiri uchaguzi

Cha kusikitisha wakianzisha mgogoroo wanasahau HATA mbunge MMOJA hawatapata kabisa

Cc
Uchaguzi serikali za mitaa
 
Sasa hivi hata zile kampeni za Free Soka hatuzisikii, madogo wamepotezwa na kupotezewa na viongozi wao🐼
 
Nimeona SEHEMU ati Fujo za chadema zitansaidia MH SAMIA kupitia kiurahisi

Kwa kifupi hakuna chama cha kupambana na ccm wapendwa

Kwa sasa wanachofanya n kupambania ruzuku tu

YAAN ukisikia HATA wale wanajiita wenyeviti sijui wanataka mtu flan awexe kukomaa kupambana na ccm

walee n wahunii

YAAN HATA mbowe anajua haeana nguvu ya kuitoa ccm madarakan

Wanachopambana n kuteseka wanapataje ruzuku

Huamini subiri uchaguzi

Cha kusikitisha wakianzisha mgogoroo wanasahau HATA mbunge MMOJA hawatapata kabisa

Cc
Uchaguzi serikali za mitaa
..ccm ni chama? unahitaji akili ya mtoto wa darasa la ngp kujua hili..
 
CHADEMA tumepoteza nafasi adimu kwa kuendeleza ujinga.
 
Back
Top Bottom