Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Nimeona SEHEMU ati Fujo za chadema zitansaidia MH SAMIA kupitia kiurahisi
Kwa kifupi hakuna chama cha kupambana na ccm wapendwa
Kwa sasa wanachofanya n kupambania ruzuku tu
YAAN ukisikia HATA wale wanajiita wenyeviti sijui wanataka mtu flan awexe kukomaa kupambana na ccm
walee n wahunii
YAAN HATA mbowe anajua haeana nguvu ya kuitoa ccm madarakan
Wanachopambana n kuteseka wanapataje ruzuku
Huamini subiri uchaguzi
Cha kusikitisha wakianzisha mgogoroo wanasahau HATA mbunge MMOJA hawatapata kabisa
Cc
Uchaguzi serikali za mitaa
Kwa kifupi hakuna chama cha kupambana na ccm wapendwa
Kwa sasa wanachofanya n kupambania ruzuku tu
YAAN ukisikia HATA wale wanajiita wenyeviti sijui wanataka mtu flan awexe kukomaa kupambana na ccm
walee n wahunii
YAAN HATA mbowe anajua haeana nguvu ya kuitoa ccm madarakan
Wanachopambana n kuteseka wanapataje ruzuku
Huamini subiri uchaguzi
Cha kusikitisha wakianzisha mgogoroo wanasahau HATA mbunge MMOJA hawatapata kabisa
Cc
Uchaguzi serikali za mitaa